Posted on: May 1st, 2025
Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Martine Shigela amewataka watumishi wote katika mkoa wa Geita kujiandikisha katika daftari la kudumu la mpiga kura.
Hayo yamebainishwa leo tarehe 01 Mei, 2025 wakati wa m...
Posted on: May 1st, 2025
Asubuhi ya leo, Mheshimiwa Jaji Mstaafu Mbaruku, Makamu Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, ametembelea vituo vitatu vya uboreshaji wa taarifa za wapiga kura katika maeneo mbalimbali. Vituo ...
Posted on: April 29th, 2025
Hayo yamesemwa leo tarehe 29 Aprili, 2025 na Afisa Mwandikishaji Jimbo la Geita Manispaa Ndg. Yefred Myenzi wakati akifungua mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili kwa...