• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

WAZIRI AWESO AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MRADI WA MAJI WA MIJI 28 GEITA

Posted on: July 25th, 2025

Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso, ametembelea na kukagua Mradi wa Maji wa Miji 28 unaoendelea kutekelezwa katika Manispaa ya Geita Mkoa wa Geita, ambapo ameonesha kuridhishwa na hatua iliyofikiwa katika utekelezaji wake.

Akizungumza katika ziara hiyo Waziri Aweso amesema Mradi huo ni mwarobaini wa tatizo la upatikanaji wa huduma ya Maji kwa Wakazi wa Geita

“Nimeridhishwa sana na kasi ya utekelezaji wa Mradi huu ndugu zangu wana Geita wali wa kushiba huonekana kwenye sahani, Mradi huu unaenda kuzalisha lita milioni 45 mara mbili ya mahitaji ya sasa ya lita milioni 22 Mradi huu ni matumaini mapya kwa Wananchi wa Geita” Mhe. Aweso.

Aidha katika ziara hiyo Aweso amempongeza  Mkurugenzi wa GEUWASA Mhandisi. Frank Changawa kwa kazi kubwa ya usimamizi wa utekelezaji wa mradi huo na bidii ya kuhakikisha huduma ya maji inapatikana kwa wakati na kwa ubora unaotakiwa.

Nae Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhe. Martin Shigela, alitumia nafasi hiyo kumshukuru Waziri kwa kufuatilia kwa ukaribu maendeleo ya mradi huo, akibainisha kuwa ni mradi wa kimkakati unaoleta unafuu mkubwa kwa wakazi wa Manispaa ya Geita.

Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Geita, Mhe. Hashim Komba, ameipongrza Serikali kwa kusimamia kikamilifu utekelezaji wa miradi ya maendeleo, huku akisisitiza ushirikiano wa karibu wa Serikali na wananchi katika kuhakikisha mradi huo unakamilika kwa ufanisi na kutoa matokeo chanya kwa jamii.

Mradi wa Maji wa Miji 28 Geita mpaka sasa umefikia Asilimia 68 za utekelezaji na unatarajiwa kukamilika ifikapo Desemba 2025.


MATUKIO MBALIMBALI KATIKA PICHA













TUFUATILIE KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII
Instagram

Facebook

X

Youtube

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MANISPAA YA GEITA June 03, 2025
  • TANGAZO KUHUSU FURSA ZA MIKOPO YA ASILIMIA 10 May 27, 2025
  • Zaidi

Habari Mpya

  • WAZIRI AWESO AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MRADI WA MAJI WA MIJI 28 GEITA

    July 25, 2025
  • KAMATI YA LISHE YA MANISPAA YA GEITA YAFANYA ZIARA YA UFUATILIAJI WA HUDUMA ZA LISHE MASHULENI

    July 24, 2025
  • WARSHA YA UHAKIKI WA TAKWIMU MPANGO WA HATUA ZA TABIANCHI BUKOBA NA GEITA - MFUKO WA GAP

    July 24, 2025
  • MASHINDANO YA MICHEZO KWA SHULE ZA SEKONDARI GEITA MANISPAA YAFANA

    July 23, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa