• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini

UTANGULIZI

Divisheni ya Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini ni moja ya Divisheni nyeti na muhimu sana katika Halmashauri ya Mji ya Geita kutokana na kushughulika na miundo mbinu ambayo ni uhitaji mkubwa kwa maisha ya kila siku si  tu kwa Wakazi wa Halmashauri ya Mji Geita bali kwa Tanzania kwa ujumla.

SHUGHULI ZINAZOTEKELEZWA NA IDARA

•    Kufanya ukaguzi wa barabara na madaraja

•    Kutayarisha bajeti ya mwaka ya matengenezo ya barabara na madaraja

•    Kusimamia kazi za barabara na madaraja zinazotekelezwa na makandarasi

•    Kufanya ukaguzi wa majengo ya halmashauri yanayojengwa kwa kutumia mafundi na wakandarasi

•    Kusimamia kazi za majengo zinazotekelezwa na makandarasi

•    Kutoa ushauri na kusimamia ujenzi wa majengo ya serikali katika ngazi ya kata na vijiji. Miradi iliyosimamiwa ni Ujenzi wa ofisi za Kata, vyumba vya madarasa, maabara, zahanati na vituo vya kutolea huduma za afya.

Pia Idara ya Ujenzi inasimamia Mitambo mitatu ambayo ni Greda, Excaveta na Rolla,Mitambo hii inatumika kukarabati barabara za Halmashauri ya Mji na pia ukodishwa kwa wakandarasi watakaokuwa na kazi ndani ya Halmashauri ya Mji.

HALI YA WATUMISHI KATIKA IDARA

Idara ina idadi ya watumishi kama inavyoonekana katika jedwali hapa chini:

Kada/Nafasi
Waliopo
Mkuu wa Idara
1
Mhandisi wa Majengo
1
Mhandisi wa Barabara
1
Msanifu Majengo
1
Mafundi Sanifu Ujenzi
4
Jumla
8


UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA IDARA
Idara ya Ujenzi ilianza kupokea fedha za matengenezo ya barabara kutoka Mfuko wa Barabara (Road Fund) mwaka wa fedha 2013/2014. Kwa mwaka wa fedha 2013/2014, Idara iliidhinishiwa bajeti kiasi cha Tshs. 1,046,400,000/= kwa ajili ya matengenezo ya barabara,Mfuko wa Barabara (Road Fund) umekuwa ukiidhinisha bajeti inayoombwa na Idara kwa ajili ya Matengenezo ya Barabara kila Mwaka wa fedha.

MRADI WA UBORESHAJI MIJI
Halmashauri ya Mji Geita ni miongoni mwa miji 18 ya Tanzania Bara inayotekeleza mradi wa Uboreshaji Miji (Urban Local Government Strengthening Program) unaofadhiliwa na Benki ya Dunia. Miji mingine ni Tabora, Morogoro,Shinyanga, Sumbawanga, Moshi, Musoma, Songea, Singida, Iringa, Kibaha, Babati, Korogwe, Mpanda, Lindi, Njombe, Bukoba na Bariadi.
Kupitia mradi huu tumefanya usanifu wa barabara za Mji Km. 18 zitakazojengwa kwa kiwango cha Lami kati ya sasa na 2018.
Kwa mwaka wa fedha 2014/2015 tulitumia Kiasi cha Tshs. 2,300,000,000/= kujenga barabara ya Jimboni (Km. 2.2) kwa kiwango cha lami ikiwa ni pamoja na kuweka taa za barabarani na njia ya waenda kwa miguu. Mradi huu uliongeza mtandao wa barabara za lami kufika Km. 6.9,Mwaka wa fedha 2016/2017 tunatarajia kujenga barabara ya Miti Mirefu 1 (Km. 0.7) na Miti Mirefu 2 (Km. 0.7) pamoja na Americanchips – Katundu (Km 1.2) ambazo zikikamilika tutakuwa na mtandao wa barabara za lami zenye urefu wa Km.9.5.

MRADI WA UBORESHAJI WA MIJI BARABARA YA JIMBONI (KM 2.2) KABLA AIJATENGENEZWA


MRADI WA UBORESHAJI WA MIJI BARABARA YA JIMBONI (KM 2.2) WAKATI WA UTENGENEZWAJI


Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • SERIKALI YAONGEZA FEDHA ZA ELIMU BURE MANISPAA YA GEITA

    May 11, 2025
  • WASIOFANYA USAFI KATIKA MAENEO YAO KUCHUKULIWA HATUA - DC KOMBA

    May 10, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI

    May 09, 2025
  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa