• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

MKURUGENZI WA MANISPAA YA GEITA ATEMBELEA BANDA LA GEITA MANISPAA KATIKA MAONESHO YA NANENANE, AWAPONGEZA WASHIRIKI KWA UTEKELEZAJI BORA

Posted on: August 7th, 2025

Mkurugenzi wa Manispaa ya Geita, Ndugu Yefred Myenzi, ametembelea banda la Halmashauri ya Manispaa ya Geita katika Maonesho ya Kilimo ya Nanenane yanayoendelea kwenye viwanja vya Nyamhongolo jijini Mwanza, ambapo amejionea kwa karibu namna shughuli mbalimbali za maonesho zinavyotekelezwa.

Katika ziara hiyo, Mkurugenzi Myenzi alielezea kuridhishwa kwake na maandalizi yaliyofanywa na Idara ya Kilimo, Uvuvi na Ufugaji, akiwapongeza kwa jinsi Wanavyo toa elimu kwa wananchi, kuonesha teknolojia bunifu, na kuhamasisha matumizi ya mbinu bora za kilimo na ufugaji.

Baada ya kukamilisha ziara yake katika banda la Manispaa, Mkurugenzi Myenzi aliendelea kutembelea banda la Halmashauri ya Wilaya ya Geita, ambapo pia alishuhudia shughuli mbalimbali za maonesho na kutoa pongezi kwa ushiriki wao madhubuti unaolenga kuelimisha wakulima na wafugaji kutoka maeneo mbalimbali.



TUFUATILIE KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII
Instagram

Facebook

X

Youtube

Matangazo

  • TAARIFA YA UKAGUZI WA TAARIFA ZA FEDHA KWA MWAKA ULIOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024 August 11, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MANISPAA YA GEITA June 03, 2025
  • TANGAZO KUHUSU FURSA ZA MIKOPO YA ASILIMIA 10 May 27, 2025
  • Zaidi

Habari Mpya

  • WACHEZAJI 43 WA MANISPAA YA GEITA WAPEWA HAMASA KUELEKEA MASHINDANO YA SHIMISEMITA 2025

    August 11, 2025
  • KARIBU NANE NANE 2025!

    August 08, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA GEITA APONGEZA UBUNIFU NA MAANDALIZI YA NANENANE

    August 07, 2025
  • MKURUGENZI WA MANISPAA YA GEITA ATEMBELEA BANDA LA GEITA MANISPAA KATIKA MAONESHO YA NANENANE, AWAPONGEZA WASHIRIKI KWA UTEKELEZAJI BORA

    August 07, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa