• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Afya

Idara ya Afya katika Halmashauri ya Mji wa Geita imepanga kutekeleza majukumu yafuatayo ili kuboresha huduma za afya kwa jamii

  • Kuhakikisha upatikanaji wa dawa na vifaa tiba katika vituo vya kutolea huduma
  • Kuboresha huduma za mama na mtoto na huduma za uzazi wa mpango
  • Kupambana na magonjwa ya mlipuko na magonjwa yanayoambukiza hasa UKIMWI, kifua kikuu na malaria
  • Kupambana na magonjwa yasiyopewa kipaumbele na yasiyo ya kuambukiza
  • Kuboresha na kuimarisha afya na usafi wa mazingira na kufanya ukaguzi katika maeneo ya mama lishe, nyumba za kulala wageni na bucha
  • Kufanya ukaguzi katika vituo binafsi vya kutolea huduma za afya vikiwemo zahanati, maduka ya dawa na vipodozi
  • Kuboresha huduma za ustawi wa jamii, wazee na watoto
  • Kuboresha eneo la raslimali watu na utawala kwa kufanya safari za usimamizi shirikishi na usimamizi elekezi

Mapambano dhidi ya Malaria

Idara ya Afya inaendelea kupambana na ugonjwa wa Malaria. Idara imeendelea kutekeleza shughuli mbalimbali kama vile kupima wagonjwa wote wenye dalili ya malaria na homa ( joto kali la mwili) kwa kutumia kipimo cha haraka cha malaria na hadubini, kutoa tiba sahihi ya malaria kwa wagonjwa waliogundulika kuwa na ugonjwa huo, ugawaji wa vyandarua vyenye viuatilifu kwa akinamama wajawazito (waliohudhuria kliniki kwa hudhurio la kwanza na watoto wa umri chini ya mwaka mmoja waliohudhuria kliniki kwa ajili ya kupata chanjo ya surua.

Pia elimu ya afya ya kujikinga na mbu waenezao ugonjwa wa Malaria inaendelea kutolewa, kadhalika wananchi wanahimizwa kuhusu umuhimu wa kupima kwa kipimo cha haraka cha malaria kwa wagonjwa wote wenye homa, kuwapatia tiba sahihi na matumizi ya vyandarua vyenye viuatilifu kwa kugawa vipeperushi na mabango katika vituo vyote vya kutolea huduma za Afya. Pia shughuli  za uelimishaji jamii kuhusu ugonjwa wa malaria zinaendelea kufanywa na wahudumu wa Afya wa jamii( community Change Agents, CCA) katika kila kata kwa kutoa elimu ya kujikinga na malaria kwa kufanya mikutano ya hadhara, kutembelea kaya na kutoa elimu katika vituo vya kutolea huduma za Afya.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • SERIKALI YAONGEZA FEDHA ZA ELIMU BURE MANISPAA YA GEITA

    May 11, 2025
  • WASIOFANYA USAFI KATIKA MAENEO YAO KUCHUKULIWA HATUA - DC KOMBA

    May 10, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI

    May 09, 2025
  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa