• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Planning and Coordination

MAJUKUMU YA MSINGI YA IDARA YA MIPANGO NA URATIBU


-Kufanya utafiti na kubainisha Fursa zilizopo katika Sekta husika

-Kuainisha Vipaumbele vya Maendeleo

-Kuaanda ratiba ya kazi zinazohusika (Action Plan)

-Kufanya tathimini ya Sera za Kisekta

-Kubuni na kuweka mikakati ya kuongeza ufanisi katika uzalisha na utoaji huduma

-Kuthamini Muundo wa Serikali wa utoaji huduma mbalimbali za jamii na Utawala

-Kuthamini ujuzi na uwezo binafisi wa watumishi wa idara mbalimbali katika  kutoa huduma kwa ufanisi na kutoa ushauri

-Kubuni na kuweka miakakati ya kuongeza ufanisi katika kutoa huduma.

-Kuthamini na kuweka vipaumbele katika maeneo ya kuweka katika sekta za uzalishaji,miundombinu na maendeleo ya jamii na utawala

-Kuwa na mashauriano ya Kitaalam katika sekta husika

-Kuwa na mashauriano ya kitaalam katika sekt husika

-Kusaidia katika kuandaa taarifa ya utekelezaji wa kazi anazofanya kwa mwaka

-Kuto ushauri wa kitaalamu juu ya upangaji wa masuala ya rasilimali watu

-Kutambua mahitaji ya utaalam katika sekta za jamii

-Kuongoza katika kuandaa/kutayarisha makala ya maendeleo ya Rasilimali watu

-Kutoa ushauri kuhusu mikakati ya ukuaji wa ajira

-Kutathimini mahitaji na matokeo ya taasisi za mafunzo kulingana na soko la ajira

-Kuchambua takwimu na taarifa mbalimbali za kiuchumi na kuandaa sera za kiuchumi na kuaandaa sera za uchumi jumla na mipango ya maendeleo ya Taifa na Mikoa

-Kutayarisha taarifa za mapitio ya mwenendo wa kiuchumi na kijamii za robo na nusu mwaka

-Kuchambua mwenendo wa bajeti ya serikali na sekta ya fedha

-Kuandaa mfumo/mtindo wa uchambuzi na makisio ya vigezo vya uchumi jumla

-Kufatilia utekelezaji wa miradi/program za sekta mbalimbali

-Kufatilia utekelezaji wa Sera mbalimbali za kisekta na kutoa ushauri

-Kutathimini utendaji wa utoaji huduma za jamii za watu binafisi na kushauri

-Kutathimini matokeo ya kimaendeleo kutokana na hatua zilizochukuliwa kushauri

-Kuandaa orodha (Inventory) na program ya idadi ya watu

-Kuratibu mpango wa idadi ya watu nchini

-Kuratibu utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025

-Kuandaa mikakati na mipango ya maendeleo ya muda wa kati na mrefu

-Kutayarisha na kusimamia mifumo ya shughuli za mipango ya maendeleo

-Kuandaa taarifa ya robo mwaka,nusu mwaka na mwaka

-Kuandaa taarifa mbalimbali zinazohitajika katika mamlaka za juu za Serikali

-Kusimamia shughuli za maendeleo katika kata maeneo yao




Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • SERIKALI YAONGEZA FEDHA ZA ELIMU BURE MANISPAA YA GEITA

    May 11, 2025
  • WASIOFANYA USAFI KATIKA MAENEO YAO KUCHUKULIWA HATUA - DC KOMBA

    May 10, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI

    May 09, 2025
  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa