• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Fedha,Uongozi na Mipango

Kamati hii inaundwa na Wenyeviti wa Kamati zote za Kudumu na Wajumbe wengine na inapaswa kukutana kila mwezi mara moja. Aidha madaraka na nafasi ya Kamati hii ni kama ya Kamati zingine za Kudumu na hivyo kisheria haina uwezo wa kufanya kazi za Kamati nyingine za Kudumu. Kwa ujumla majukumu yake ni pamoja na kusimamia na kudhibiti ukusanyaji wa mapato na matumizi ya mali ya Halmashauri kupitia vikao vyake.

                                               

           Majukumu maalumu ya Kamati

 

    (a)     Kuwasilisha mapendekezo ya Bajeti na Mpango wa Maendeleo ili kupata idhini ya Halmashauri.

    (b)     Kusimamia utunzaji wa hesabu za fedha ikiwa ni pamoja na uhakiki wa mali za Halmashauri, ukusanyaji wa mapato, kufuta madeni na kuomba vibali maalumu kwa matumizi yanayohitaji kibali cha Waziri mwenye                     dhamana ya Serikali za Mitaa.

    (c)     Kufikiria na pale inapowezekana kupendekeza kwenye Halmashauri masuala  yanayohusu Sheria Ndogo  na utendaji katika ngazi za chini ya Halmashauri.

   (d)     Kupokea na kuzingatia mapendekezo ya kubadili matumizi ya mafungu ya fedha yaliyopo katika makisio  yaliyoidhinishwa na kuyapeleka kwa Halmashauri.

   (e)     Kuratibu mapendekezo kutoka kwenye Kamati zingine kuhusu matumizi ya kawaida na miradi na kuyawasilisha kwenye Halmashauri

    (f)     Kufikiria na kupendekeza kwenye Halmashauria mikopo yote yaHalmashauri.

    (g)    Kutoa mapendekezo ya vitega uchumi kwa madhumuni ya kuongeza mapato  kwa mujibu wa kifungu 18 cha Sheria ya Fedha ya Serikali za Mitaa Sura ya 290.

    (h)  Kupokea na kujadili taarifa za Wakaguzi wa Fedha na mali za Halmashauri na kupendekeza hatua za kuchukuliwa kutokana na maelezo na maoni ya wakaguzi kwa mujibu wa kifungu 54 cha Sheria za Serikali za  Mitaa, Sura ya 290

    (i)  Kutoa mapendekezo ya aina ya bima za kuchukuliwa na Halmashauri kwa  ajili ya mali zake mbalimbali kwa mujibu wa Kanuni za Fedha (local  Government Financial Memorandum), 1997 vifungu 310 – 315.

    (j) Kusimamia na kudhibiti masuala yote ya mapato na matumizi ya Halmashauri kwa mujibu wa Kanuni na taratibu za fedha kama inavyelekezwa  kwenye Kanuni za Fedha (Local Government Financial Memoranda) ya 1997 kifungu Na. 3 (a).

    (k) Kupendekeza mabadiliko ya viwango vya kodi, ada na ushuru mbalimbali zinavyotozwa na Halmashauri, kama inavyoelekezwa kwenye Local Government Financial Memorandum),1997 Na. 3 (c)

    (l) Kupokea na kuamua juu ya mapendekezo ya watumishi wanaokwenda masomoni.

    (m) Kubuni na kupendekeza mpango wa kuanzisha na kuendeleza uhusiano na  miji mingine duniani.

    (n) Kusimamia makusanyo na matumizi ya vijiji kwa kifungu 51 (3) cha Sheria ya Fedha ya Sheria za Mitaa (Sura 290)

    (o) Kuteua Wakaguzi wa Fedha/mali za Serikali za Vijiji, kwa mujibu wa kifungu 51 (3) cha Sheria ya Fedha za Seriakali za Mitaa (Sura ya 290)

    (p) Kuangalia na kupendekeza masuala yanayohusu nyumba za Halmashauri

    (q) Kujadili na kutoa mapendekezo kuhusu mafunzo ya watumishi

    (r) Kujadili na kupendekeza masuala yote yanayohusu maslahi ya jumla ya watumishi, ikiwa ni pamoja na mikopo, nyumba, usafiri, matibabu na kupendekeza masuala yanayohusu gharama za mazishi.

    (s) Kupitisha mapendekezo ya kuthibitisha watumishi kazini baada ya kumaliza kipindi cha majaribio kulingana na miundo husika ya utumishi.

     (t) Kushughulikia maafa katika eneo la Halmashauri.

     (u) Kupendekeza kwa Halmashauri kutunga Sheria Ndogo zinazohusu Kamati hii.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • SERIKALI YAONGEZA FEDHA ZA ELIMU BURE MANISPAA YA GEITA

    May 11, 2025
  • WASIOFANYA USAFI KATIKA MAENEO YAO KUCHUKULIWA HATUA - DC KOMBA

    May 10, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI

    May 09, 2025
  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa