• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

WACHEZAJI 43 WA MANISPAA YA GEITA WAPEWA HAMASA KUELEKEA MASHINDANO YA SHIMISEMITA 2025

Posted on: August 11th, 2025

Wachezaji 43 wa Halmashauri ya Manispaa ya Geita walioteuliwa kushiriki mashindano ya SHIMISEMITA mwaka huu, wamepewa hamasa maalum kabla ya kuelekea mkoani Tanga kwa ajili ya mashindano hayo ya kitaifa.

Katika tukio hilo maalum la kuwaaga wachezaji, viongozi mbalimbali wa manispaa wamewatakia kila la heri na kuwahimiza kushiriki kwa bidii, wakitambua kuwa wanawakilisha nembo ya Manispaa ya Geita pamoja na Mkoa kwa ujumla.

Akizungumza na wachezaji hao, Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Geita, Bi. Ellah Makese aliwapongeza kwa kuchaguliwa kushiriki mashindano hayo, akisisitiza kuwa ana imani kubwa na uwezo wao. “Michezo ni afya, lakini pia ni heshima kwa taasisi. Nendeni mkaonyeshe uwezo wenu, mkipata ushindi katika kila mchezo ikiwezekana,” alisema.

Bi. Ellah alisisitiza umuhimu wa kurejea na ushindi, kwani kufanya hivyo kutajenga taswira chanya kwa Halmashauri ya Manispaa ya Geita na Mkoa mzima wa Geita.

Akihitimisha hotuba yake kwa ari na matumaini, alihamasisha: “Twendeni Tanga, turudi na ushindi!”

Mashindano ya SHIMISEMITA yanatarajiwa kuanza Tarehe 15/08/2025 na kumalizika tarehe 29/08/2025  yanajumuisha watumishi kutoka sekta mbalimbali za serikali, yakilenga kuimarisha afya, mshikamano, na motisha kazini kupitia michezo.

MATUKIO MBALI MBALI KATIKA PICHA








TUFUATILIE KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII
Instagram

Facebook

X

Youtube

Matangazo

  • TAARIFA YA UKAGUZI WA TAARIFA ZA FEDHA KWA MWAKA ULIOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024 August 11, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MANISPAA YA GEITA June 03, 2025
  • TANGAZO KUHUSU FURSA ZA MIKOPO YA ASILIMIA 10 May 27, 2025
  • Zaidi

Habari Mpya

  • WACHEZAJI 43 WA MANISPAA YA GEITA WAPEWA HAMASA KUELEKEA MASHINDANO YA SHIMISEMITA 2025

    August 11, 2025
  • KARIBU NANE NANE 2025!

    August 08, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA GEITA APONGEZA UBUNIFU NA MAANDALIZI YA NANENANE

    August 07, 2025
  • MKURUGENZI WA MANISPAA YA GEITA ATEMBELEA BANDA LA GEITA MANISPAA KATIKA MAONESHO YA NANENANE, AWAPONGEZA WASHIRIKI KWA UTEKELEZAJI BORA

    August 07, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa