• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Historia

Halmashauri ya Mji wa Geita inapatikana kati ya mita 1,100 hadi 1,300 toka usawa wa Bahari. Pia inapatikana kati ya Nyuzi 2o8 hadi 3o28 kusini mwa Ikweta na Nyuzi 32o45 hadi 37o mashariki mwa Greenwich. Halmashauri ya Mji Geita inapakana na Halmashauri ya Wilaya ya Geita, Wilaya ya Sengerema na Wilaya ya Nyang'hwale  na ina eneo la kilometa za mraba 1080.3 Halmashauri ya Mji Geita ilipata hadhi ya kuwa Halmashauri baada ya kufuata taratibu zote za kisheria na kutangazwa kwenye Gazeti la Serikali Namba 280 la tarehe 24 Agosti 2012 na Cheti cha usajili kutolewa tarehe 5 Septemba 2012. Sheria iliyotumika kuidhinisha Mamlaka na eneo la Halmashauri ya Mji ni Sheria Namba 8 ya Mwaka 1982. Kabla ya kuwa Halmashauri kamili, ilikuwa ni Mamlaka ya Mji Geita iliyokuwa chini ya Halmashauri ya Wilaya ya Geita kufuatia taarifa kwenye Gazeti la Serikali Namba 353 la tarehe 17 Septemba 2004. Makao makuu ya Halmashauri yapo Geita mjini mtaa wa Magogo, barabara kuu itokayo Mwanza kuelekea Bukoba.

Asili ya jina Geita: Neno Geita limetokana na maneno matatu ya kabila la Wayango (Warongo) ambayo ni Akabanga keita abhantu likiwa na maana kupotea kwa mazingara ambayo yalikuwa kwenye mlima huo wa Akabanga keita abhantu uliokuwa ukitumiwa na warongo kama eneo la mitambiko ya jadi.Jina hili la Geita lilikuwa maarufu kutokana na wazungu kushindwa kutamka maneno Akabanga keita abhantu na hivyo kukatisha kuwa Geita hadi leo.Makabila yaliyokuwepo ya Wazinza, Wasukuma,Wasumbwa na Wasubi wakaigiza matamushi ya wazungu Geita na hivyo neno la Akabanga keita abhantu likaanza kupotea polepole hadi leo.

UTAWALA KABLA YA WAKOLONI

Kabla ya kuingia kwa wakoloni (Wajerumani na Waingereza) Geita ilikuwa na tawala za asili saba (7) ambazo ni:

UTAWALA
CHIFU/MTEMI 
 MAKAO MAKUU
Busambilo
Ludomya Ng’hwele
Nyarubele
Msalala
Musa Chasama Mbiti
Kitongo
Buyombe
Mgunga Kadama
Busanda
Buchosa
Paulo Lukakaza
Nyakalilo
Kharumo
Alexander Gerevas
Kharumo
Bukoli
Mganila Nonga
Bukoli
Mwingiro
Nyorobi Mapumba
Idetemya Mwingiro

Wakoloni wa kwanza kuingia Geita walikuwa ni wajerumani ambao utawala wao ulikuwa ni wa moja kwa moja(Direct rule) na hivyo kushindwa kabisa kwani wawakilishi wao waliokuwa wakiletwa toka makao makuu Bagamoyo(Pwani) walikuwa wakiuwawa na wenyeji.

Utawala wa pili ulikuwa wa waingereza baada ya vita kuu ya pili ya dunia,ambao wao walitumia utawala usikuwa wa moja kwa moja(Indirect rule) yaani kwa kuwatumia machifu/watemi wa maeneo husika ili kutekeleza azma/malengo yao.

Eneo la mji wa Geita aliwekwa Liwali Petro Nyango ambaye alifanya kazi chini ya utawala wa kwa eneo la mjini.

 BARAZA LA JADI (NATIVE AUTHORITY)

Baraza hili lilikuwa chini ya uangalizi wa Mkuu wa Wilaya(DC) wa kikoloni,liliundwa na watemi 7 na liwali 1.Mwenyekiti wa baraza hilo alitokana na watemi hao.Aidha katibu wa baraza hilo alitokana na watemi au karani kutoka ofisi ya DC.

Makao makuu ya baraza hilo yalikuwa mjini Geita eneo jirani na Benki ya CRDB, kila mtemi alijengewa nyumba ya kupumnzikia na kulala.

MAJUKUMU YA BARAZA HILO

  • Kusimamia ulinzi na usalama
  • Kusimamia shughuli za maendeleo hasusani katika elimu ya msingi,kilimo mkazo ikiwa zao la pamba na mazao ya chakula(Mahindi,Mtama na Uwele) pamoja na barabara.

Historia ya Wahe. Wenyeviti wa Halmashauri ya Mji Geita

JINA LA MWENYEKITI
MWAKA ALIOCHAGULIWA
MWAKA ALIOTOKA MADARAKANI
MARTINE KWILASA
2012
2016
LEONARD K.BUGOMOLA
2016
2020
COSTANTINE M. MORANDI
2021
ANAENDELEA



Hali ya Hewa

Eneo la Halmashauri ya Mji lina tabia ya joto la wastani kuanzia Nyuzi 22oC hadi 30oC. Eneo hili hupata Mvua ya wastani wa milimita 1200 kwa mwaka ambazo huanza kunyesha kuanzia Mwezi Oktoba hadi Januari na Kati ya Mwezi Machi na katikati ya Mei. Kiwango cha unyevunyevu ni kati ya 35% na 60% wakati wa kiangazi na masika.

Idadi ya watu 

Kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022, Halmashauri ya Mji ina jumla ya  wakazi 361,671 .Shughuli za kiuchumi katika Halmashauri ya Mji wa Geita ni kilimo, ufugaji, uchimbaji wa madini ya Dhahabu na biashara mbalimbali ndogondogo, za kati na kubwa.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • SERIKALI YAONGEZA FEDHA ZA ELIMU BURE MANISPAA YA GEITA

    May 11, 2025
  • WASIOFANYA USAFI KATIKA MAENEO YAO KUCHUKULIWA HATUA - DC KOMBA

    May 10, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI

    May 09, 2025
  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa