• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Natural Resources and Environment Conservation

MALIASILI

Utangulizi

Ofisi ya Maliasili katika Halmashauri ya Mji Geita inaundwa na Sehemu tatu ambazo ni Misitu, Wanyamapori, na Kitengo cha Ufugaji Nyuki.


i.) WANYAMAPORI

Kutumia Sheria ndogo za hifadhi ya misitu katika kudhibiti uharibifu wa Mazingira. vilevile Kudhibiti uvunaji wa Wanyama na Misitu  pasipo kufuata taratibu katika Pori la hifadhi ya wazi la Geita, kwa kufanya doria za mara kwa mara  na elimu kutolewa  kwa jamii  zinazozunguka  hifadhi ya Geita juu ya manufaa ya uwepo wa rasilimali hizo.

ii) MISITU


 Tunahamasisha wanavijiji vinavyopakana na hifadhi ya Msitu wa Geita kutoshiriki katika shughuli zinazofanya uharibifu wa Misitu na kushiriki kikamilifu kudhibiti Moto ndani ya Msitu wa hifadhi ya Geita.

Halmashauri ya Mji Geita ina jumla ya Misitu ya hifadhi miwili ambayo ni Msitu wa hifadhi ya Geita yenye ukubwa wa hekta 47,700, na Msitu wa hifadhi ya Usindakwe wenye ukubwa wa hekta 450. Misitu hii inasimamiwa na Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia kwa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania.

Lakini pia sambamba na kuhimiza upandaji Miti katika Halmashauri ya Mji Geita. Tunahimiza Watu kuhifadhi Miti ya asili, jambo ambalo limewezesha Watu binafsi na Taasisi kutunza jumla ya hekta 369.1 ya Miti ya asili katika maeneo yao.

ii.) NYUKI

Kuhamasisha kufuga Nyuki kisasa kwa Vikundi vya Ufugaji Nyuki, na kutembelea maeneo ya wafuga Nyuki ili kutoa elimu ya ufugaji Nyuki kisasa kwa vitendo. Halmashauri ina jumla ya Wafugaji wa Nyuki 5 wenye jumla ya Mizinga 450 na vikundi 3 vyenye jumla ya Mizinga 191. Hivyo katika Halmashauri ya Mji Geita ipo jumla ya Mizinga ya kisasa 641 ambayo huzalisha asali kwa wastani wa kilogramu 20 kwa Mzinga.  



Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • SERIKALI YAONGEZA FEDHA ZA ELIMU BURE MANISPAA YA GEITA

    May 11, 2025
  • WASIOFANYA USAFI KATIKA MAENEO YAO KUCHUKULIWA HATUA - DC KOMBA

    May 10, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI

    May 09, 2025
  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa