• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Elimu

Halmashauri ya Mji wa Geita ina jumla ya shule za msingi 93, shule 65 zikiwa ni shule za Serikali na shule 28 zikiwa ni za watu binafsi. Jumla ya wanafunzi wote kuanzia darasa la kwanza hadi la saba ni 90,000, wavulana 45,293 na wasichana 46,747.

Utekelezaji wa Elimu Msingi bila malipo

Katika kutekeleza azma ya Serikali ya kutoa elimu msingi bila malipo, Halmashauri ya Mji imeendelea kusimamia utekelezaji wa Waraka wa Elimu Namba 3 wa mwaka 2016 unaotoa mwongozo wa namna ya kutekeleza elimu ya msingi bila malipo. Waraka wa Elimu na 3 umeweka bayana majukumu ya wadau wote muhimu katika utoaji wa elimu msingi bila malipo ambapo imeainishwa kuwa wazazi /walezi wanantakiwa kufanya yafuatayo

i. Kununua sare za shule na michezo, vifaa vya kujifunzia, chakula kwa wanafunzi wa kutwa na kugharamia matibabu kwa watoto wao.

ii. Kulipia nauli ya kwenda shule na kurudi kwa wanafunzi wa kutwa

iii. Kulipa nauli za wanafunzi wakati wa likizo, kununua vifaa kwa ajili ya malazi shuleni na vifaa vya kujifunzia

Halmashauri ya Mji Geita imeendelea kuhamasisha jamii / wananchi ili wajitolee nguvu kazi na mali kwa lengo la kuleta maendeleo ya shule zilizo katika maeneo yao. Ikumbukwe kwamba waraka wa Elimu Na. 3 hauzuii wananchi kuchangia shughuli za maendeleo ikiwa ni pamoja na elimu bali umezuia michango iliyokuwa inawalenga moja kwa moja wanafunzi, wazazi au walezi. Michango ya namna hiyo ilikuwa inasababisha wanafunzi kufukuzwa shule / kurejeshwa nyumbani na kukosa masomo iwapo mzazi au mlezi angeshindwa kuilipa michango hiyo mapema. Pia wazazi wajenge utamaduni wa kukagua kazi za shuleni za watoto wao ili kujiridhisha kama wanafundishwa shuleni.

Elimu Sekondari

Halmashauri ya Mji wa Geita ina jumla ya shule 34 za Sekondari, kati ya hizo shule 24 zinamilikiwa na Serikali na shule 10 zinamilikiwa na watu binafsi pamoja na mashirika ya dini. Shule za Serikali zina wanafunzi 12,005 ambapo wavulana ni 6,143 na wasichana ni 5,862.

Halmashauri ya Mji kupitia Idara ya Elimu  Sekondari imeweza kufanya shughuli zifuatazo;-

  • Kushughulikia uhamisho wa walimu na wanafunzi
  • Kufuatilia taaluma, ujenzi na ukarabati wa miundombinu shuleni
  • Kufanya tathmini ya matokeo ya kitaifa ya Kidato cha II na kidato cha IV
  • Kufanya mafunzo ya ujazaji wa TSS
  • Kusimamia migao ya Elimu Msingi bila malipo


Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • SERIKALI YAONGEZA FEDHA ZA ELIMU BURE MANISPAA YA GEITA

    May 11, 2025
  • WASIOFANYA USAFI KATIKA MAENEO YAO KUCHUKULIWA HATUA - DC KOMBA

    May 10, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI

    May 09, 2025
  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa