• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

KAMATI YA LISHE YA MANISPAA YA GEITA YAFANYA ZIARA YA UFUATILIAJI WA HUDUMA ZA LISHE MASHULENI

Posted on: July 24th, 2025

Kamati ya Lishe ya Halmashauri ya Manispaa ya Geita imefanya ziara ya Ufuatiliaji wa Huduma za Lishe Shuleni ikiwa ni sehemu ya jitihada za kuhakikisha utekelezaji wa mpango wa chakula mashuleni unakwenda sambamba na maboresho ya afya na ustawi wa wanafunzi.

Lengo kuu la ziara hii ni kufanya usimamizi shirikishi wa masuala ya lishe kupitia maeneo yafuatayo:  

- Utekelezaji wa mpango wa chakula mashuleni  

- Uhamasishaji wa matumizi ya unga wa mahindi ulioboreshwa kwa virutubishi  

- Uanzishaji wa klabu za lishe  

- Uanzishaji wa bustani za mboga mashuleni

Kupitia hatua hizi, Kamati inalenga kuboresha afya na lishe za wanafunzi, kupunguza hali ya udumavu na utapiamlo, kuimarisha mahudhurio, kuongeza ufaulu, na kujenga kizazi chenye afya bora.

Katika ziara hiyo, jumla ya shule 10 zilitembelewa (tano za msingi na tano za sekondari shule) zote zinaendesha mpango wa chakula mashuleni na kuhakikisha wanafunzi wanapata angalau mlo mmoja wakiwa shuleni. Aidha, Kamati imefurahishwa na hali ya utekelezaji wa mpango wa chakula, uwepo wa klabu za lishe pamoja na bustani za mboga ambazo zimeanza kuonekana kama chanzo muhimu cha lishe mbadala.

Kamati inaendelea kutoa elimu ya lishe kwa jamii na mashuleni ili kuongeza uelewa na kuhamasisha ushiriki wa wazazi katika uchangiaji wa chakula mashuleni, kwa manufaa ya afya na maendeleo ya watoto.


MATUKIO MBALIMBALI KATIKA PICHA







TUFUATILIE KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII
Instagram

Facebook

X

Youtube

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MANISPAA YA GEITA June 03, 2025
  • TANGAZO KUHUSU FURSA ZA MIKOPO YA ASILIMIA 10 May 27, 2025
  • Zaidi

Habari Mpya

  • WAZIRI AWESO AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MRADI WA MAJI WA MIJI 28 GEITA

    July 25, 2025
  • KAMATI YA LISHE YA MANISPAA YA GEITA YAFANYA ZIARA YA UFUATILIAJI WA HUDUMA ZA LISHE MASHULENI

    July 24, 2025
  • WARSHA YA UHAKIKI WA TAKWIMU MPANGO WA HATUA ZA TABIANCHI BUKOBA NA GEITA - MFUKO WA GAP

    July 24, 2025
  • MASHINDANO YA MICHEZO KWA SHULE ZA SEKONDARI GEITA MANISPAA YAFANA

    July 23, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa