Posted on: August 6th, 2025
Wananchi wameendelea kujitokeza kwa wingi katika banda la Manispaa ya Geita kwenye Maonesho ya Nane Nane 2025 katika viwanja vya Nyamhingolo
wakijifunza kwa vitendo mbinu bora za kilimo, ufugaji na...
Posted on: August 7th, 2025
Uzinduzi rasmi wa Dawati la Huduma za Ustawi wa Jamii katika Kituo kikuu cha mabasi Geita Mjini kutawezesha watoto na watu wote wanaopitia vitendo vya kikatili katika maeneo ya stendi kupata msaada wa...
Posted on: August 5th, 2025
Karibu sana kwenye Banda la Maonesho la Manispaa ya Geita kwenye viwanja vya Nyamhongolo, Mwanza!
Tunawaalika wananchi wote kutembelea banda letu ambapo mtapata:
Elimu ya kisasa kuhusu kilimo...