Posted on: January 30th, 2025
Kampeni ya Msaada wa kisheria ya Mama Samia iliyopo katika Manispaa ya Geita Mkoani humo ikiongozwa Mwakilishi kutoka Wizara ya katiba na Sheria Ndg. Moses Matiko imeendelea na shughuli ya kutembelea ...
Posted on: January 27th, 2025
Katika kusherehekea kumbukizi ya tarehe ya kuzaliwa kwa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Viongozi mbalimbali akiwemo Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe. Hashim Komba, Mk...
Posted on: January 9th, 2025
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Geita Ndugu Yefred Myenzi leo Tarehe 8 Januari 2025 katika Ukumbi wa Gedeco amefanya kikao na watumishi wote wa Makao makuu Watendaji wa Kata, Mitaa, Vijiji na Waganga...