• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

GEITA MANISPAA YAADHIMISHA SIKU YA WAUUGUZI NA WAKUNGA

Posted on: May 30th, 2025

Leo Mei 30, 2025 Halmashauri ya Manispaa ya Geita imeadhimisha siku ya Wauguzi Duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka tarehe 12 ya Mwezi Mei Duniani kote.

Maadhimisho hayo yamefanyika katika Hospitali ya Manispaa ya Geita na mgeni rasmi akiwa Ndg.  Yefred Myenzi, Mkurugenzi wa Manispaa ya Geita yakiongozwa na kauli mbiu isemayo "Uuguzi Nguvu ya Mabadiliko"

Ndg. Myenzi akihutubia maadhimisho hayo, amemshukuru Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuendelea kuikumbuka Manispaa ya Geita kutuletea watumishi wa kada ya afya 46 wakiwemo wauguzi pamoja na vifaa tiba.

Katika hotuba yake Ndg. Myenzi amewapongeza wauguzi kwa kusema kusema wameendelea kuonyesha moyo wa kipekee kwa namna wanavyojitoa katika kuifanya kazi yao kwa moyo wote

Amewapongeza pia kwa kusema anaridhishwa na utendaji kazi wa watumishi nakusema Geita Manispaa inaendelea kujitahidi kuhakikisha upatikanaji wa Dawa na vifaa tiba

Myenzi amesisitiza watumishi kuendelea kuipenda kazi yao na kuifanya bila kuchoka na amewakumbusha juu ya kiapo chao kuwa ni ahadi ya moyo dhamira na utu hivyo wanatakiwa kukiishi kiapo chao ili kuepuka kuondolewa kiapo hicho na kulinda misingi ya kitaaluma kwa kufuata miongozo ya matibabu

Pia amewataka kufuata miiko ya kazi kwa kuacha yale yasiyotakiwa kufanywa ikiwa ni pamoja na kutotoa dawa zisizofaa kwa wagonjwa pamoja na kuepuka kutoa au kupokea rushwa hii ikiambatana na kusimamia miiko yao ya kazi kama kutotoa siri za wagonjwa maana kufanya hivyo ni kuhatarisha maisha ya Mgonjwa

Wakati huo huo, ameipongeza idara ya afya kwa kuondoa tatizo la watumishi wasio waadilifu, wanaotoa lugha zisizofaa kwa wagonjwa kwani kufanya hivyo kutasaidia kulinda heshima ya kada ya afya

Na mwisho ameendelea kusisitiza watumishi kuendelea kuhifadhi vifaa na dawa ili kuepusha upotevu na hasara.

Maadhimisho haya hufanyika kila mwaka Mei 12, Duniani kote ikiwa ni kumbukumbu kwa muasisi wa huduma ya Uuguzi Florence Nightngale ambaye alikuwa Muitaliano aliyezaliwa mwaka 1871 na Kitaifa yamefanyika Mkoani Mara

Kwa mwaka huu 2025 maadhimisho ya siku ya Wauguzi Katika Manispaa ya Geita yameambatana na shughuli mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuwatembelea wagonjwa na kufanya matembezi ya amani na burudani mbalimbali.

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI


TUFUATILIE KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII
Instagram

Facebook

X

Youtube

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MANISPAA YA GEITA June 03, 2025
  • TANGAZO KUHUSU FURSA ZA MIKOPO YA ASILIMIA 10 May 27, 2025
  • Zaidi

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WA KOZI YA AWALI YA JESHI LA AKIBA WAPATIWA ELIMU YA HABARI

    July 04, 2025
  • WATUMISHI WAKUMBUSHWA KUFANYA KAZI KWA UMOJA

    June 30, 2025
  • BONAZA LA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA GEITA NA HALMASHAURI YA WILAYA YA KWIMBA

    June 28, 2025
  • WANANCHI WA MANISPAA YA GEITA WAKUMBUSHWA KUENDELEA KUFANYA USAFI

    June 28, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa