• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

MSIGWA ATAKA VITENGO VYA MAWASILIANO SERIKALINI VIIMARISHWE NA KUFANYA MAWASILIANO YA KIMKAKATI

Posted on: May 24th, 2025

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Ndg. Gerson Msigwa amezitaka halmashauri zote nchini kuzingatia maelekezo ya Rais Samia kwamba vitengo vya mawasiliano ya serikali (GCU) viimarishwe kwa kupatiwa vitendea kazi na kwamba halmashauri ambazo hazitafanya hivyo zitakuwa zimekiuka maelekezo ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Ndg. Msigwa ametoa rai hiyo alipokuwa akifunga kikao kazi cha maafisa habari wa tawala za mikoa, halmashauri na taasisi zilizo chini ya TAMISEMI, kilichofanyika kwa siku mbili tarehe 23.05.2025 na 24.05.2025 kwenye Mji wa Serikali Mtumba - Dodoma ambapo pia amewasisitiza maafisa hao kutambua wajibu wao wa kufanya mawasiliano ya kimkakati hasa katika msimu huu wa uchaguzi mkuu ambapo upotoshaji kuhusu mambo mema na mazuri yaliyotekelezwa na serikali unaweza kuwa mwingi.

"Nakemea kasumba ya baadhi ya wakurugenzi wa halmashauri wanaodhani vitengo hivi havihitaji fedha. Katika masimu huu wa uchaguzi mkuu hakikisheni mnatumia redio za kijamii na waandishi wa habari kueleza mazuri ambayo serikali imeyatekeleza katika maeneo yenu.

" Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kupitia Idara ya Habari mpaka sasa imeshafanya mikutano ya wanahabari (Press Conferences) na taasisi 35 za serikali hivi sasa ni zamu ya mawaziri kuvieleza vyombo vya habari mazuri ambayo wizara zao zimeyatekeleza kisha tarehe 16.06.2025 hadi 17.07.2025 itakuwa zamu ya wakuu wa mikoa yote nchini ambapo nao wataeleza mafaniko ya serikali katika mikoa. Hakikisheni mnashiriki kikamilifu katika kuandaa taarifa ambazo wakuu wenu wa mikoa wataziwasilisha mbele za wandishi wa habari". Alieleza kwa kina Msigwa.

Katika hatua nyingine, Ndg. Msigwa amewajulisha maafisa habari jukumu jipya la usimamizi na uratibu wa masuala ya mitandao ya kijamii ambalo Idara ya Habari Maelezo imekabidhiwa na kuwataka maafisa husika wenye mtanziko katika eneo hilo wawafikie ili kupata msaada na kuzilinda akaunti za taasisi zao dhidi ya watu wenye nia ovu wanaoweza kuzipora na kuzitumia vibaya kupotosha umma.


TUFUATILIE KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII
Instagram

Facebook

X

Youtube

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MANISPAA YA GEITA June 03, 2025
  • TANGAZO KUHUSU FURSA ZA MIKOPO YA ASILIMIA 10 May 27, 2025
  • Zaidi

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WA KOZI YA AWALI YA JESHI LA AKIBA WAPATIWA ELIMU YA HABARI

    July 04, 2025
  • WATUMISHI WAKUMBUSHWA KUFANYA KAZI KWA UMOJA

    June 30, 2025
  • BONAZA LA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA GEITA NA HALMASHAURI YA WILAYA YA KWIMBA

    June 28, 2025
  • WANANCHI WA MANISPAA YA GEITA WAKUMBUSHWA KUENDELEA KUFANYA USAFI

    June 28, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa