Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Mhandisi Robert Gabriel amewataka Waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri ya Mji kuchagua Miradi inayohitajika kwa wananchi wao na kuisimamia kikamilifu
Mbunge wa Geita Mjini Mhe. Costantine Kanyasu akieleza namna wananchi wa Geita wanavyotakiwa kutunza na kulinda miradi inayoanzishwa na Serikali katika maeneo yao.
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Geita Mhandisi Modest J. Apolinary amesema kuwa Kwa mwaka wa fedha 2016/2017 Halmashauri imeweza kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo.
Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa