Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Geita kupitia tangazo la kazi lenye Kumb. Na. AB.55/451/01/50 la tarehe 24/05/2022 anawataarifu waombaji wa kazi ya Dereva II, Katibu Muhtasi III na Mtendaji wa Mtaa III kuwa usahili umepangwa kufanyika Tarehe 28/07/2022 hadi 02/08/2022 kuanzia Saa 1:00 Asubuhi.
Wasahiliwa wanatakiwa kuja na nakala halisi (Original Certificates) za:
BOFYA HAPA KUSOMA TANGAZO KAMILI
BOFYA HAPA KUONA MAJINA YA WAOMBAJI WA NAFASI YA UDEREVA II
BOFYA HAPA KUONA MAJINA YA WAOMBAJI WA NAFASI YA KATIBU MUHTASI III
BOFYA HAPA KUONA MAJINA YA WAOMBAJI WA NAFASI YA MTENDAJI WA MTAA III
Geita Tanzania
Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita
Namba ya Simu: 0282520437
Mobile:
Barua pepe: td@geitatc.go.tz
Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa