• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

Posted on: May 5th, 2025

Pongezi hizo zimetolewa leo tarehe 05 Mei, 2025 na Waheshimiwa Madiwani ambao ni wajumbe wa Kamati ya fedha na uongozi wakati wa ziara ya Kamati ya fedha na uongozi kwa robo ya tatu kwa mwaka wa fedha 2024/2025 walipotembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa katika Halmashauri ya Manispaa ya Geita. 

Wahe. Madiwani wamepongeza sana juhudi za Mkurugenzi wa Manispaa ya Geita Ndg. Yefred Myenzi na Menejimeti nzima ya Manispaa hii na wamesisitiza Mkurungezi na timu yake kuendelea kusimamia vyema miradi na kuendelea kuibua miradi ya kukusanya mapatao kama alivyofanya katika soko la Nyankumbu

Naye Ndg. Myenzi ameahidi miradi viporo ya CSR iliyopo katika baadhi ya Kata katika Halmashauri ya Manispaa ya Geita inatarajiwa kukamilishwa ndani ya wiki tatu (3) zijazo.

Na ameendelea kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa pesa nyingi za miradi anazoleta na kuahidi kuzisimamia vyema ili zilete tija kwa wananchi na jamii kawa ujumla 

Kamati ya fedha na Uongozi ikiongzwa na Mhe. Elias Ngole ambaye ni Diwani wa Kata ya Nyanguku aliambatana na wajumbe mbalimbali wakiwemo Wahe. Madiwani, Mkurugenzi wa Halmashauri na Wataalamu wa kutoka Halmashauri ya Manispaa ya Geita

Ziara hiyo iliweza kutembela miradi ya maendeleo ifuatayo; Kutembelea na kukagua marekebisho ya milango ya Zahanati ya Gamashi iliyopo katika Kata ya Bulela, kutembelea na kukagua ujenzi wa vibanda katika soko la Nyankumbu lililopo Kata ya Nyankumbu, kutembelea na kukagua ukamilishaji wa jengo la maabara katika shule ya sekondari Bombambili (CSR) iliyopo katika Kata ya Bombambili

Miradi mingine iliyoweza kufikiwa ni pamoja na kutembelea na kukagua ukamilishaji wa Zahanati ya Bombambili iliyopo katika Kata ya Bombambili, kutembelea na kukagua ukamilishaji wa jengo la utawala katika shule ya sekondari Kisesa (CSR) iliyopo katika Kata ya Buhalahala na kutembelea na kukagua ukamilishaji wa jengo la wagonjwa wa nje (OPD) na nyumba ya mtumishi katika Zahanati ya Mwatulole iliyopo katika Kata ya Buhalahala.

BOFYA HAPA KUONA VIDEO

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

TUFUATILIE KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII
Instagram

Facebook

X

Youtube

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa