• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Viongozi Wa Dini Waipongeza Serikali Mkoani Geita

Posted on: September 15th, 2020

Viongozi Wa Dini Waipongeza Serikali Mkoani Geita

Viongozi wa Madhehebu ya kikristo Wilayani Geita wametoa pongezi za dhati kwa Serikali ya awamu ya tano katika Mkoa wa Geita kwa utekelezaji imara wa miradi ya maendeleo ambayo itawanufaisha wananchi wote ndani ya Mkoa mzima.

Pongezi hizo zimetolewa hivi karibuni wakati wa ziara ya viongozi hao wakiambatana na Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel walipotembelea Halmashauri ya Mji wa Geita kujionea utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo ulivyofanyika na unavyoendelea.

Miradi iliyotembelewa na viongozi hao ni pamoja na Soko la wajasiriamali Katundu, Ujenzi wa Machinjio ya kisasa Mpomvu, Ujenzi wa jengo la Ofisi kuu ya Halmashauri ya Mji Geita,Hospitali ya Mkoa wa Geita, Soko kuu la Dhahabu Geita mjini pamoja na ujenzi wa jengo la Utawala kwenye eneo maalum la uwekezaji kiuchumi Magogo.

Wakiwa kwenye Mradi wa Machinjio ya kisasa Mpomvu utakaokuwa na uwezo wa kuchinja zaidi ya ng’ombe 100 kwa siku, Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel amewaeleza viongozi hao kuwa uwepo wa mradi huo utaibua fursa kwa wafugaji kuuza nyama na mazao ya mifugo ndani na nje ya mipaka ya nchi ya Tanzania.

Akiongea kwa niaba ya wenzake, kiongozi  Askofu Stephano  Saguda amemshukuru Mkuu wa Mkoa wa Geita kwa kuwa kiongozi wa kwanza aliyetambua umuhimu  wa viongozi wa dini katika kuifahamu vyema miradi inayotekelezwa katika jamii yao kwa kuandaa ziara ambayo imewafumbua macho kuelewa kinachoendelea katika Wilaya yao.

Askofu Saguda aliongeza kuwa  Machinjio ya kisasa Mpomvu itakapoanza kazi itawezesha upatikanaji wa ngozi ya kutosha ambayo itatayarishwa kwa viwango vya kimataifa hivyo ameishauri Serikali ya Mkoa wa Geita kuanzisha wazo la kujenga kiwanda cha kisasa cha bidhaa za ngozi halisi ili kutoa fursa ya ajira kwa vijana wa Geita na kutumia raslimali hiyo ambayo haitasafirishwa kutoka mbali bali itakuwa ni ya kutoka Wilayani Geita.

Kwa upande wake Mchumi wa Halmashauri ya Mji Geita Ndg. Emmanuel Magesa amefafanua kuwa pamoja na huduma za machinjio mradi huo utahifadhi mazingira kwa kutibu maji machafu na kuwa masafi kwa matumizi ya kawaida pamoja na kuzalisha gesi itakayotumika kwa shughuli mbalimbali




Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • SERIKALI YAONGEZA FEDHA ZA ELIMU BURE MANISPAA YA GEITA

    May 11, 2025
  • WASIOFANYA USAFI KATIKA MAENEO YAO KUCHUKULIWA HATUA - DC KOMBA

    May 10, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI

    May 09, 2025
  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa