• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

SERIKALI YAONGEZA FEDHA ZA ELIMU BURE MANISPAA YA GEITA

Posted on: May 11th, 2025

Mkurugenzi wa Manispaa ya Geita, Yefred Myenzi, amesema Serikali imeendelea kuwekeza fedha nyingi kuboresha sekta ya elimu ikiwa ni pamoja na ujenzi wa miundombinu kama mabweni, madarasa, nyumba za walimu na vyoo, ili kuhakikisha mazingira rafiki ya kujifunzia na kufundishia.

Akizungumza katika mkutano wa tathmini ya maendeleo ya elimu kwa shule za sekondari, Myenzi amesema tangu kuingia madarakani kwa Rais Samia Suluhu Hassan, kumekuwa na mafanikio makubwa katika sekta ya elimu na afya.

"Tunampongeza Mheshimiwa Rais kwa namna alivyowekeza fedha nyingi za kuboresha miundombinu ya elimu.

Amesema licha ya ingezeko kubwa la wanafunzi bado kuna ongezeko la kiwango cha ufaulu uliofanya idara ya elimu kutoa tuzo kwa walimu waliofaulisha vizuri.

"Tunampongeza mweshimiwa Rais kwa namna alivyowekeza fedha nyingi za kuboresha miundo mbinu"

Amesema Geita inawanafunzi wengi hivyo bado Manispaa inafanya juhudi ya kuongeza miundombinu ya madarasa na nyumba za walimu.

"Serikali imewekeza sana katika elimu kwa kuhakikisha mazingira yanakuwa rafiki kwa wanafunzi na walimu, ili kufikia malengo ya taifa," amesema Myenzi.

Kwa mujibu wa Afisa Elimu Sekondari wa Manispaa hiyo, Rashid Muhaya, amesema Serikali imeongeza fedha za elimu bure kutoka Sh bilioni 1.07 mwaka 2021 hadi kufikia Sh bilioni 2.7 mwaka 2025.

Amesema kwa kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Samia, idadi ya wanafunzi waliosajiliwa imeongezeka kutoka 17,145 mwaka 2021 hadi 22,362 mwaka huu, sambamba na kuongezeka kwa walimu, maabara, madarasa na shule mpya.

"Kwa miaka minne tumeona mabadiliko makubwa ambayo yamechochea ufaulu na kuimarisha utoaji wa elimu," amesema Muhaya.

Katika hafla hiyo, Divisheni ya Elimu ilitoa zawadi ya vyeti na fedha kwa shule zilizofanya vizuri kitaaluma, huku shule zilizofanya vibaya zikipatiwa mabango ya hamasa kwa lengo la kuzihimiza kuongeza juhudi.

Walimu walioshiriki mkutano huo pia walipata fursa ya kushiriki michezo mbalimbali kama njia ya kuimarisha mshikamano na kujenga upendo kazini.

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

TUFUATILIE KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII
Instagram

Facebook

X

Youtube

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • SERIKALI YAONGEZA FEDHA ZA ELIMU BURE MANISPAA YA GEITA

    May 11, 2025
  • WASIOFANYA USAFI KATIKA MAENEO YAO KUCHUKULIWA HATUA - DC KOMBA

    May 10, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI

    May 09, 2025
  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa