• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika 2019

Posted on: June 17th, 2019

Familia Zakumbushwa Wajibu wa Malezi ya Watoto

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mheshimiwa Ummy Mwalimu amewataka wazazi na walezi kutambua kuwa ni jukumu la kila mmoja wao kuwalinda, kuwatunza na kuwaendeleza watoto wa Taifa hili kwa sababu watoto ni Taifa la leo ambapo msingi wa baadaye wao ndio wanaoutengeneza.

Mheshimiwa Ummy Mwalimu ameyasema hayo wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika yaliyofanyika kimkoa katika Kata ya Ludete Mamlaka ya Mji mdogo Katoro hivi karibuni. Wakati wa Maadhimisho hayo Waziri pia alizindua kitini cha Ajenda ya wajibu wa wazazi wa Malezi na matunzo ya familia nchini Tanzania.

Aidha Waziri Ummy ameongeza kuwa Serikali imeshatoa maelekezo ya kuanzishwa kwa madawati ya ulinzi wa watoto shuleni ili kuboresha mfumo wa upatikanaji wa huduma kwa wahanga wa ukatili na kuimarisha ulinzi wa watoto wawapo shuleni.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel amesema kuwa wanaume katika Mkoa wa Geita waache tabia ya kuweka heshima kwenye maduka ya  pombe  kwa kutumia fedha nyingi kwenye ulevi. “ Heshima ya mwanaume ni kuwa na uwezo wa kutunza , kuihudumia na kuipenda familia yake hususani mke na watoto ili kuwa na familia zenye maadili yanayokubalika katika jamii.

Akisoma Risala kwa niaba ya watoto wenzake, Mwenyekiti wa Baraza la Watoto Mkoa wa Geita mwanafunzi,Joseph Francis amesema watoto wa Mkoa wa Geita bado wanakumbana na changamoto mbalimbali ikiwa ni pamoja na mazingira hatarishi ya watoto kama kufanya kazi katika migodi pia baadhi ya wazazi huwaachisha shule watoto wao na kuwaingiza kwenye biashara ndogo ndogo ili kujipatia kipato cha familia nzima.

Siku ya Mtoto wa Afrika huadhimishwa Juni 16 kila mwaka  kuwakumbusha watoto hatua ya kijasiri waliyoichukua wenzao huko Soweto Afrika ya kusini katika kulinda zao ambapo watoto waliandamana kupinga aina ya elimu duni ya kibaguzi waliyopewa na Serikali ya kibeberu pia walitaka Serikali ya Mzungu iwape ruksa kufundishwa kwa lugha zao wenyewe. Kauli Mbiu ya Mwaka 2019 inasema “Mtoto ni msingi wa Taifa endelevu; tumtunze, tumlinde na kumuendeleza.




Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MANISPAA YA GEITA June 03, 2025
  • TANGAZO KUHUSU FURSA ZA MIKOPO YA ASILIMIA 10 May 27, 2025
  • Zaidi

Habari Mpya

  • WATUMISHI WAKUMBUSHWA KUFANYA KAZI KWA UMOJA

    June 30, 2025
  • BONAZA LA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA GEITA NA HALMASHAURI YA WILAYA YA KWIMBA

    June 28, 2025
  • WANANCHI WA MANISPAA YA GEITA WAKUMBUSHWA KUENDELEA KUFANYA USAFI

    June 28, 2025
  • DC KOMBA AWAKARIBISHA NACHINGWEA KUJIFUNZA UCHIMBAJI GEITA, ATOA USHAURI WA NAMNA NZURI YA USIMAMIZI WA MIGODI

    June 26, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa