• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Kaya Hewa Kuondolewa Kwenye Mpango wa TASAF

Posted on: July 2nd, 2020

Kaya Hewa Kuondolewa Kwenye Mpango wa TASAF

Uhakiki wa wanufaika wa mpango wa TASAF awamu ya tatu katika Halmashauri ya Mji wa Geita ambao unaendelea utawezesha wanufaika wote ambao hawana sifa za kupokea ruzuku inayotolewa na Serikali kuondolewa katika utaratibu huo.

Akizungumza katika mafunzo kwa wawezeshaji   ngazi  ya Halmashauri katika Halmashauri ya Mji wa Geita hivi karibuni Mwezeshaji Mkuu kutoka makao makuu ya TASAF Bi. Graceana Maganga amesema kuwa zoezi la uhakiki wa kaya maskini ambazo zinanufaika na fedha za mfuko wa TASAF linafanyika katika Mkoa mzima wa Geita kwa lengo la kubaini kaya hewa na kuziondoa katika orodhaya malipo.

Bi. Graceana ameongeza kuwa zoezi la uhakiki litafanyika kwa njia ya kielektroniki ambapo wawezeshaji katika ngazi ya Serikali za mitaa watatumia vifaa vya kisasa kujaza taarifa za wanufaika kwa kutumia kishikwambi (Tablet) kwa kuongozwa na maswali ya dodoso ambalo limeandaliwa na TASAF.

Kwa upande wake Afisa Mradi wa TASAF kutoka Makao Makuu ndg. Mary Mtambalike amesema kuwa zoezi la uhakiki linafanyika baada ya agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuagiza kaya zote ambazo hazina sifa ya kuwa maskini, kaya zenye watumishi au viongozi wa Serikali, watu wenye uwezo kiasi kiuchumi na waliofariki wanaondolewa na kuwapatia fedha watu wanaostahili na wenye sifa za kuitwa maskini.

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Geita Mhandisi Modest Apolinary amesema kuwa Halmashauri itashirikiana kikamilifu na TASAF kuhakikisha kuwa kaya zote ambazo hazina vigezo vya kuwa maskini au wale ambao walishaondoka kwenye kundi la maskini wanaondolewa kwenye orodha ya wanufaika.

Mpango wa TASAF wa kunusuru kaya maskini unatoa huduma kwa kaya maskini ili kuziwezesha kujenga uwezo wa kiuchumi kwa kuwalipa fedha taslimu wanufaika ili waweze kufanya shughuli ndogo ndogo za kiuchumi ili wajikwamue kimaisha na kuzihudumia familia zao.



Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa