• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Nyuki na Misitu
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

Mabaraza Ya Ardhi Yakumbushwa kuwa na Weledi

Posted on: November 20th, 2020

Mabaraza Ya Ardhi Yakumbushwa Kuwa na Weledi

Katibu Tawala wa Wilaya ya Geita Ndugu Thomas Dimme amewakumbusha wataalam wanaoshughulikia Mabaraza ya ardhi katika Wilaya ya Geita kufanya kazi kwa haki na weledi mkubwa wanapowahudumia wananchi wenye migogoro mbalimbali.

Ndugu Dimme ametoa ujumbe huo wakati wa kuhitimisha maadhimisho ya Wiki ya utoaji huduma ya msaada wa kisheria kwa wananchi wa Halmashauri ya Mji wa Geita iliyofanyika katika ukumbi wa Gedeco Halmashauri ya Mji wa Geita hivi karibuni.

Katibu Tawala wa Wilaya ya Geita ameeleza kuwa kundi kubwa linaloathirika na vikwazzo vya upatikanaji wa haki pamoja na msaada wa kisheria ikiwemo migogoro ya ardhi na mipaka ni wanawake na watoto kutokana na kushindwa kukidhi gharama zinazohitajika wakati wa huduma na kutofikiwanna huduma hizo kiurahisi.

Ndg. Dimme ametumia fursa hiyo kuzipongeza taasisi zinazoshirikiana na Serikali katika utoaji wa huduma ya msaada wa kisheria  kwa kutambua umuhimu wa msaada wa kisheria kwa jamii na kusogeza huduma hiyo karibu na wananchi wenye kipato kidogo katika kutambua na kutatua masuala yanayowasibu pindi migogoro inapotokea.

Kwa upande wake Hakimu Mkazi Mfawidhi Wilaya ya Geita Samuel Maweda ametoa pongezi kwa Halmashauri ya Mji Geita kwa kuandaa Maadhimisho hayo na kuomba liwe zoezi endelevu kwa kila mwaka ili wananchi wapate fursa ya kutatuliwa migogoro ya kisheria inayowakabili kama mirathi, migogoro ya ardhi na mengineyo.

Maadhimisho ya Wiki ya Utoaji wa huduma ya kisheria hufanyika kila mwaka kwa lengo la kuwajengea wananchi wote uelewa juu ya sheria na msaada wa kisheria pamoja na kanuni zake ambapo kauli mbiu ya mwaka 2020 inasema “Usimamizi Bora wa Mirathi Kwa Maendeleo ya Familia”.



Matangazo

  • Fomu za Kuijiunga Kidato cha Kwanza Shule ya Sekndari Nyankumbu na Geita December 29, 2020
  • TANGAZO LA KODI YA MAJENGO April 20, 2018
  • TANGAZO LA WAMILIKI WA VIWANJA VILIVYOSHINDWA KUENDELEZWA BOMBAMBILI NA MAGOGO May 28, 2018
  • TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA SERIKALI YA HESABU ZA KUISHIA TAREHE 30 JUNI 2017 June 29, 2018
  • Zaidi

Habari Mpya

  • Wananchi Wakumbushwa Kulipa Kodi Kwa Muda

    March 02, 2021
  • Geita Mji Yajipanga Kuepuka Mrundikano wa Wanafunzi

    February 15, 2021
  • Wananchi Watakiwa Kupinga Ukatili

    December 11, 2020
  • Madiwani Ni Kitovu Cha Halmashauri-DC Geita

    December 08, 2020
  • Zaidi

Video

Bombambili Bomba ndani ya Miaka 5 ya JPM
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Applications Forms
  • Acts
  • Barua pepe za watumishi
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa