• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Kamati ya LLAC Yaridhishwa na Miradi Geita Mji

Posted on: March 21st, 2024

Kamati ya LAAC Yaridhishwa na Miradi Geita Mji

Halmashauri ya Mji Geita imepongezwa na wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa kwa utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo na kujiridhisha kuwa miradi hiyo ina ubora unaotakiwa kwa manufaa ya wananchi.

Wajumbe wa Kamati hiyo wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti Mheshimiwa Stanslaus Mabula (Mb) hivi karibuni wamefanya ziara ya ukaguzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo ambayo imetekelezwa na inaendelea kutekelezwa katika maeneo mbalimbali ya Halmashauri ya Mji wa Geita.

Kamati ya LAAC imetoa pongezi kwa Madiwani pamoja na wataalam kwa kubuni wazo zuri la kuanzisha mradi wa uwanja wa michezo Geita mjini ambacho kitakuwa ni chanzo kikubwa cha mapato ya Serikali na pia kitatoa fursa kwa wananchi wa Geita kutazama mashindano mbalimbali ya michezo katika uwanja wa nyumbani.

Wajumbe wa Kamati hiyo wametoa agizo kwa Halmashauri ya Mji Geita kuhkikisha ujenzi wa uwanja huo unakamilika ifikapo mwishoni mwa mwezi Januari 2025 na kuanza kutumika katika mashindano mbalimbali ya michezo kuanzia ngazi ya Wilaya, Mkoa, Taifa hadi kimataifa.

Akizungumza kwa niaba ya wajumbe wengine Mhe. Stanslaus Mabula (Mb) amewashauri wataalam wote kutunza jengo la ofisi na miundombinu yake ili kuendelea kulitunza jengo hilo ambalo kuwa  limejengwa kwa kiwango chenye ubora wa hali ya juu na linatoa taswira nzuri ya Mji wa Geita.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Geita Mhe. Costantine Morandi ametoa shukrani za dhati kwa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuiwezesha Halmashauri yake kupata vituo vinne vya afya ndani ya kipindi cha uongozi wake tofauti na miaka ya nyuma ambapo Halmashauri ilikuwa na kituo cha Afya kimoja pekee.

Miradi iliyotembelewa na Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa ni pamoja na ujenzi wa Uwanja wa michezo  Geita mjini, upanuzi wa Kituo cha Afya Bulela pamoja na ukaguzi wa jengo la Ofisi kuu ya Halmashauri ya Mji Geita katika eneo la Magogo.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • SERIKALI YAONGEZA FEDHA ZA ELIMU BURE MANISPAA YA GEITA

    May 11, 2025
  • WASIOFANYA USAFI KATIKA MAENEO YAO KUCHUKULIWA HATUA - DC KOMBA

    May 10, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI

    May 09, 2025
  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa