• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Watendaji Wakumbushwa Kutofanya Kazi Kwa Mazoea

Posted on: April 18th, 2024

Watendaji Wakumbushwa Kutofanya Kazi Kwa Mazoea

Watendaji wa Kata 50 za Halmashauri mbili zinazounda Wilaya ya Geita wamekumbushwa kuachana na desturi ya kufanya kazi kwa mazoea.

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Geita Mheshimiwa Hashim Komba alipokuwa akizungumza na watendaji wa kata 13 za Halmashauri ya Mji Geita pamoja na kata 37 za Halmashauri ya Wilaya ya Geita katika ukumbi wa EPZA Bombambili Geita mjini hivi karibuni.

Mhe. Hashim Komba ameeleza kuwa hali ya ukusanyaji mapato katika Wilaya ya Geita sio ya kuridhisha sana hivyo watendaji wanapaswa kutambua kuwa wao ni sehemu ya wakusanyaji mapato na kuacha dhana ya kufikiri jukumu la kukusanya mapato ni la Mkurugenzi na timu yake pekee.

Mkuu wa Wilaya ya Geita amewaagiza watendaji kuwasaidia wakurugenzi wao kuibua vyanzo vyote vya mapato katika maeneo yao na kuhuisha kanzi data za vyanzo vya mapato vilivyopo ili kazi ya kufuatilia mapato yatokanayo na vyanzo hivyo iwe rahisi kwao kama magavana wa maeneo husika na timu za ufuatiliaji mapato kutoka Halmashauri (Task force).

“Pamoja na majukumu yenu ya kila siku jitahidini kutatua kero  mnazoletewa na wananchi wenu. Wekeni utaratibu wa dawati la malalamiko linalotembea kuanzia ngazi za vitongoji hadi katani, utaratibu wa kusikiliza kero na malalamiko ya wananchi katika maeneo yenu utasaidia kupunguza msongamano wa wananchi wanaokwenda kwa wingi katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya kutwa nzima kusubiria foleni ya kusikilizwa na Mkuu wa Wilaya mwenyewe ilhali kero yake ingeweza kutatuliwa na viongozi wa kata”. Aliongeza DC Komba.

Kwa upande wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Geita Ndg. Yefred Myenzi amewasihi watendaji wa kata pamoja na watumishi wengine wilayani hapo kutoishi kwa kuogopana bali wawe wepesi kuiga mifano mizuri kwa wanaofanya vizuri zaidi na kuwa tayari kujifunza kila wakati. Pia kila mmoja akae katika nafasi yake kikamilifu kwa kutimiza majukumu yake kwa kufuata sheria, kanuni na taratibu.





Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa