• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Nyuki na Misitu
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

Geita Mji Yajipanga Kuepuka Mrundikano wa Wanafunzi

Posted on: February 15th, 2021

Geita Mji Yajipanga kuepuka Mrundikano wa Wanafunzi

Kukamilika kwa ujenzi wa Shule tatu za Sekondari  ambazo ni mpya na zinatarajiwa kukamilika  kabla ya Fbruari 28/2021 kutawezesha wanafunzi kusoma kwa nafasi na kwa idadi inayokubalika ,hali itakayopelekea kupandisha pia kiwango cha ufaulu kwa wanafunzi hao.

Hayo yamebainishwa na Afisa Elimu Sekondari wa Halmashauri ya Mji wa Geita Mwalimu Rashid Muhaya wakati wa ziara ya ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa shule hizo hivi karibuni.

Mwalimu Muhaya amefafanua kuwa ujenzi wa shule ya Sekondari Kisesa yenye madarasa matano utakapokamilika utawezesha baadhi ya wanafunzi kuhamishiwa kutoka shule ya Sekondari Kalangalala. Kadhalika kwa shule ya Sekondari Kisesa na Mkangara ambapo wanafunzi watahamishwa kutoka kwenye shule zilizoko jirani

Kulingana na takwimu zilizotolewa na idara ya elimu, wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na elimu ya sekondari kwa kidato cha kwanza ni 1744, wavulanawakiwa ni 2823 na wasichana 2921. Wavulana 2256 na wasichana 2260 wamesharipoti na kuanza masomo ya kidato cha kwanza na kufanya idadi ya wanafunzi ambao wamesharipoti katika Halmashauri ya Mji hadi kufikia tarehe 5/2/2021 kuwa 4516 sawa na asilimia 78.62%.

Shule mpya za Sekondari zinazojengwa ni pamoja na Bombambili yenye madarasa kumi, Kisesa yenye madarasa matano na Mkangara madarasa matano. Baada ya kukamilika kwa ujenzi huo Halmashauri itaifanya Halmashauri ya Mji kuwa na shule za Sekondari 19 kutoka 16 zilizokuwepo awali, Pia ujenzi wa shule mpya ya Nyakato katika Kata ya Nyanguku utaanza mapema mwaka 2021.



Matangazo

  • Fomu za Kuijiunga Kidato cha Kwanza Shule ya Sekndari Nyankumbu na Geita December 29, 2020
  • TANGAZO LA KODI YA MAJENGO April 20, 2018
  • TANGAZO LA WAMILIKI WA VIWANJA VILIVYOSHINDWA KUENDELEZWA BOMBAMBILI NA MAGOGO May 28, 2018
  • TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA SERIKALI YA HESABU ZA KUISHIA TAREHE 30 JUNI 2017 June 29, 2018
  • Zaidi

Habari Mpya

  • Mapato ya Ndani Kujenga Miradi ya Kimkakati

    March 04, 2021
  • Wananchi Wakumbushwa Kulipa Kodi Kwa Muda

    March 02, 2021
  • Geita Mji Yajipanga Kuepuka Mrundikano wa Wanafunzi

    February 15, 2021
  • Wananchi Watakiwa Kupinga Ukatili

    December 11, 2020
  • Zaidi

Video

Bombambili Bomba ndani ya Miaka 5 ya JPM
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Applications Forms
  • Acts
  • Barua pepe za watumishi
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa