• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Zahanati ya Nyanguku yazinduliwa

Posted on: February 1st, 2018

Zahanati ya Nyanguku Kuokoa maisha ya Wananchi

Wananchi wapatao 11,359 ambao ni wakazi wa vijiji vya Nyanguku, Shinamwenda, Mwagimagi na mtaa wa Nyakato katika kata ya Nyanguku, Halmashauri ya Mji Geita watanufaika na huduma za afya kwa karibu baada ya kuzinduliwa rasmi kwa Zahanati katika kata yao.

Akifungua rasmi Zahanati hiyo Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel ametoa pongezi za dhati kwa Halmashauri ya Mji Geita na wananchi wa Nyanguku kwa kufanikisha upatikanaji wa Zahanati hiyo ambayo itakuwa ni mkombozi kwa wananchi wa kata hiyo na vijiji vya jirani. Pia ametumia fursa hiyo kuwashauri kuitunza Zahanati hiyo na kujipanga kuanzisha ujenzi wa Shule ya Sekondari katika kata hiyo.

Akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi huo Diwani wa Kata ya Nyanguku  Mh. Elias Ngole amesema kuwa kwa miaka yote wananchi walikuwa wakitembea umbali wa kilometa kumi kwenda zahanati ya Bunegezi iliyoko kata jirani kwa lengo la kupata huduma za afya, hali ambayo ilikuwa ikisababisha vifo vya wanawake wajawazito na watoto wachanga.

Mh. Ngole amewashukuru wananchi wa Kata ya Nyanguku kwa kujitolea kwa hali na mali kuhakikisha wanachangia ujenzi wa Zahanati hiyo pamoja na nyumba pacha mbili kwa ajili ya watumishi wa zahanati hiyo. Pia ameshukuru uongozi wa Halmashauri ya Mji Geita kwa kuthamini afya za wakazi wa Nyanguku na kutambua uhitaji wao wa kupata zahanati katika kata yao.

Diwani wa Kata ya Nyanguku ameongeza kuwa  wananchi wa Kata yake wameweka mpango mkakati wa kuongeza majengo mawili kwa ajili ya kulaza wagonjwa ili zahanati yao iweze kupandishwa hadhi ya kuwa kituo cha afya siku za mbeleni.

Ujenzi wa Zahanati ya Nyanguku ulianza mwaka 2014 ambapo jumla ya Shilingi Milioni 168,742,000/= za kitanzania ambazo ni mchango kutoka Serikali kuu, Halmashauri ya Mji Geita na  Shilingi Milioni tano pamoja na nguvu kazi ikiwa ni mchango wa wananchi wa Kata ya Nyanguku.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • SERIKALI YAONGEZA FEDHA ZA ELIMU BURE MANISPAA YA GEITA

    May 11, 2025
  • WASIOFANYA USAFI KATIKA MAENEO YAO KUCHUKULIWA HATUA - DC KOMBA

    May 10, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI

    May 09, 2025
  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa