• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Wizara Ya Elimu Kuendelea Kujenga Miradi Geita Mji

Posted on: August 2nd, 2019

Wizara ya Elimu Kuendelea Kujenga  Miradi Geita Mji – Mhe. Olenasha

Naibu Waziri wa  Elimu, Sayansi na Teknolojia Mheshimiwa William Tate Olenasha amesema kuwa Wizara yake itaendelea kutoa fedha ya ukamilishaji wa miradi yote ya majengo ya madarasa, Ofisi na nyumba za walimu ambayo imefikia hatua ya maboma yaliyoanzishwa kwa nguvu za wananchi.

Mhe. Olenasha ameyasema hayo alipokuwa katika ziara ya kikazi kukagua na kuweka jiwe la msingi ujenzi wa Ofisi ya mthibiti wa shule pamoja na kutembelea shule za Msingi Mbugani,Mwatulole Sekondari na Shule ya Sekondari ya wasichana Nyankumbu tarehe 01/08/2019 ambapo pia alizungumza na wanafunzi wa shule hizo.

Naibu Waziri wa Elimu ameongeza kuwa wizara itajenga madarasa mawili, chumba cha kupimia afya za watoto na nyumba moja ya walimu wa kitengo cha elimu maalum katika Shule ya Msingi Mbugani kitengo cha elimu maalum, ambapo pia amempongeza Mkurugenzi na Halmashauri ya Mji Geita kwa ujenzi wa bweni la watoto wenye ulemavu ambalo limefikia hatua inayoridhisha.

“Serikali inatambua umuhimu wa watoto wenye ulemavu mbalimbali hivyo itahakikisha inawekeza kwenye vitengo vya elimu maalum ili watoto wenye mahitaji maalum waweze kusoma vizuri na hatimaye kufikia malengo yao, nanyi watoto endeleeni kutumia fursa iliyotolewa na Serikali kuhakikisha mnafika mbali” Aliongeza William Olenasha.

Naibu Waziri wa Elimu alitoa pongezi kwa Mthibiti ubora wa shule kanda ya ziwa kwa ujenzi wa ofisi ya Mthibiti ubora wa shule Halmashauri ya Mji Geita hususan kwa kutumia utaratibu wa force akaunti unaotoa fursa kwa vijana walikoko katika eneo husika kupata ajira za ujenzi na kuagiza Halmashauri ihakikishe ujenzi huo unamalizika kwa wakati na viwango vilivyokubaila.

Kwa upande wake Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini Bi. Mariam Mkaka akizungumza kwa niaba ya mbunge amewasilisha ombi la kukarabatiwa kwa shule kongwe za Msingi Ukombozi na Sekondari ya Geita ambazo zimechakaa sana kwa sasa. Ambapo Naibu Waziri wa Elimu ameahidi kulifaanyia kazi suala hilo.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi( CCM) Wilaya ya Geita Ndugu Barnabas Mapande ametoa pongezi kwa Serikali ya awamu ya tano kwa kuboresha miundombinu ya majengo ya shule kwa ujenzi wa madarasa na mabweni ya kisasa ambayo hayakuwepo kipindi cha nyuma, hivyo wanafunzi watumie nafasi hiyo kwa kusoma kwa bidii na kumuombea afya njema Rais John Pombe Magufuli na Baraza lake la Mawaziri ili waendelee kufanya kazi kwa bidi kwa maendeleo ya Taifa.



Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa