• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Watumishi Wa Umma Wakumbushwa kuwa Waadilifu

Posted on: June 19th, 2020

Watumishi Wa Umma Wakumbushwa Kuwa Waadilifu

Watumishi wa Umma katika Wilaya ya Geita  wamekumbushwa kuwachukulia wananchi ambao ndio wateja wao kama wafalme kwa kuwahudumia kwa upendo na uadilifu pasipo kusahau kutumia kauli nzuri na lugha yenye staha wakati wa mazungumzo baina yao.

Ushauri huo umetolewa na Katibu Tawala wa Wilaya ya Geita Ndugu. Thomas Dimme wakati alipokuwa akifungua rasmi Maadhimisho ya Juma la Watumishi wa Umma tarehe 19/6/2020 katika Halmashauri ya Mji wa Geita, Maadhimisho ambayo yaafanywa kwa kuonesha shughuli mbalimbali zinazofanywa na Idara na Vitengo vya Halmashauri katika mabanda kwenye viwanja vya Gedeco.

“Katibu Tawala wa Wilaya ya Geita amesema kuwa watumishi wa Umma wana wajibu wa kuwatumikia wananchi kwa kuzingatia bidi ya kazi, uadilifu, weledi, kujituma na kutoa huduma bila upendeleo. Maonyesho yamewezesha Halmashauri kupata mrejesho kutoka kwa wananchi ambao wanafika kwenye mabanda ya Idara kuwasilisha shida zao zinazohitaji utatuzi.” Aliongeza Thomas Dimme.

Ndg. Thomas Dimme ameongeza kuwa Watumishi wa Umma watumie juma hilo kujitathimini endapo huduma wanazozitoa zinaendana na kasi ya Serikali ya Awamu ya tano. Pia ameziagiza mamlaka zote zilizoko katika Wilaya ya Geita kuboresha mifumo ya utatuzi wa kero na malalamiko mbalimbali yanayowasilishwa na wananchi kwa kuwa na sanduku la maoni na daftari au kitabu cha kutunzia kumbukumbu ya malalamiko yote yanayowasilishwa katika ofisi zao.

Akizungumza katika ufunguzi huo Mkuu wa Idara ya Utumishi na Utawala wa Halmashauri ya Mji Geita Bi. Thecla Gasembe amesema kuwa wiki ya Utumishi wa Umma huadhimishwa kwa malengo mbalimbali ikiwemo kupata mrejesho kutoka kwa wananchi na wadau wanaohudumiwa ili kurekebisha kasoro za utendaji dhidi ya Taasisi ya Umma zitakazobainishwa. Pia ni kutambua mchango na umuhimu wa Watumishi wa Umma katika kuleta maendeleo katika Taifa lao.

Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma katika Halmashauri ya Mji Geita yameanza tarehe 16/6/2020 na yatahitimishwa tarehe 23/06/2020. Kauli mbiu iliyotolewa na Umoja wa Afrika ni “Jukumu la Utumishi wa Umma katika Kujenga na Kudumisha Amani iliyopo Miongoni mwa Jamii”.



Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa