• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Watoto 78,974 Kukingwa Dhidi Ya Polio Geita Mji

Posted on: September 2nd, 2022

Watoto 78,974 Kukingwa Dhidi Ya Polio Geita Mji

Julma ya watoto 78,974 wenye umri chini ya miaka mitano wanatarajiwa kupatiwa chanjo ya kuwakinga dhidi ya maakumbikizi ya ugonjwa wa polio wakati wa kampeni lililoanza tarehe 1-4 Septemba 2021

Akizungumza na mwandishi wa habari hii Mratibu wa chanjo Halmashauri ya Mji Geita Ndg. Mutashubirwa Nestory amesema kuwa zoezi la chanjo litafanyika katika zahanati na vituo vyote vya afya pamoja na kampeni ya nyumba hadi nyumba ndani ya Halmashauri ya Mji wa Geita.

Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe. Wilson Shimo ametoa rai kwa wananchi wote kutambua umuhimu wa chanjo kwa kuwapeleka watoto wote wenye umri lengwa kuchanjwa na kutowaficha watoto wagonjwa, wenye ulemavu wa aina mbalimbali majumbani kwani haki ya kupatiwa chanjo ni ya kila mtoto pasipo kuangalia mapungufu yake.

Ugonjwa wa Polio unasababishwa na kirusi cha polio ambacho huenezwa kwa kula chakula au kunywa maji yaliyochafuliwa na kinyesi cha mtu mwenye maambukizi ya ugonjwa huo. Ugonjwa huu unaweza kumpata mtu kwa kutozingatia kanuni za usafi na endapo mtoto mmoja atapata maambukizi, watoto wote watakuwa kwenye hatari ya kuambukizwa ugonjwa wa polio.

Ugonjwa wa Polio hushambulia mifupa ya fahamu na kusababisha kupooza kwa misuli hasa miguu, mikono au vyote kwa pamoja na kwa wakati mwingine misuli ya kifua inayosaidia kupumua na hatimaye kusababisha kifo. Dalili za ugonjwa wa Polio ni pamoja na mgonjwa kuwa na homa kali, mafua, maumivu ya mwili, maumivu ya kichwa na shingo na ulemavu wa ghafla wa viungo.

Ingawaje ugonjwa wa Polio unaweza kuwapata watu wa rika zote, watoto wenye umri chini ya miaka mitano wako kwenye hatari Zaidi ya kuambukizwa ugonjwa huo. Ugonjwa wa Polio unaweza kuzuiwa kwa kupata chanjo ya kujikinga na ugonjwa huo pamoja na kuzingatia usafi wa mikono, usafi wa mazingira kwa ujumla ikiwemo matumizi sahihi ya choo bora.

Nchini Tanzania chanjo dhidi ya ugonjwa wa Polio hutolewa mara nne kwa mtoto mara anapozaliwa, akifikikisha umri wa majuma sita,kumi na 14 pia wakati wa kampeni maalum zitakapohitajika. Hivyo ni muhimu watoto wapatiwe chanjo wakati wa kampeni za kitaifa hata kama amekamilisha ratiba ya chanjo kwa utaratibu wa kliniki.



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MANISPAA YA GEITA June 03, 2025
  • TANGAZO KUHUSU FURSA ZA MIKOPO YA ASILIMIA 10 May 27, 2025
  • Zaidi

Habari Mpya

  • MKUTANO MAALUMU WA BARAZA WA KUJADILI MAJIBU YA HOJA NA MAPENDEKEZO YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    June 11, 2025
  • BILIONI 19.1 KUTEKELEZA UJENZI KITUO KIKUU CHA MABASI MANISPAA YA GEITA

    June 06, 2025
  • WATUMISHI GEITA MANISPAA WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA NA KANUNI ZA UTUMISHI WA UMMA

    June 05, 2025
  • WATUMISHI WA MANISPAA YA GEITA WATAKIWA KUJIEPUSHA NA MITANDAO YA KIJAMII YENYE TAARIFA ZA UPOTOSHAJI

    June 04, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa