• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Watendaji Wapigwa Msasa Geita Mji

Posted on: March 27th, 2019

Watendaji Wapigwa Msasa Geita Mji

Zaidi ya Watendaji 60 wa Kata, Mitaa na vijiji vya Halmashauri ya Mji wa Geita wamepata fursa ya kupewa mafunzo ya namna ya utendaji bora wa kada zao katika utumishi wa Umma. Mafunzo hayo yametolewa na Afisa Tarafa wa Geita Ndugu Innocent Mabiki, tarehe 26/03/2019 katika ukumbi wa Gedeco Halmashauri ya Mji Geita.

Ndg. Mabiki amewaasa Watendaji hao kuwa mfano bora wa kuigwa katika jumuiya wanazoziongoza kwa kuwa waadilifu, wachapakazi, waaminifu na kufanya kazi kwa weledi wakizingatia kanuni na taratibu za nchi. Kwani kwenda kinyume na hapo watachafua taswira ya Serikali ya awamu ya tano ambayo kwa sasa inafanya mambo makubwa ya maendeleo katika maeneo mbalimbali ya nchi ikiwemo Kata na mitaa wanayoisimamia.

“ Pamoja na majukumu yenu ya kila siku, hakikisheni vikao vya kisheria mnavyopanga katika kamati za Kata na vijiji  pamoja na mikutano ya hadhara inafanyika na katika mikutano hiyo Agenda ya Ulinzi na Usalama ifanywe kama Agenda ya kudumu ili wananchi wakumbushwe umuhimu wa kulinda usalama wa maeneo yao na nchi kwa ujumla.  Pia msipuuzie suala la kuwasomea wananchi taarifa ya Mapato na matumizi wakati wa mikutano ya hadhara kwa lengo la kuwaweka wazi juu ya masuala ya raslimali fedha katika Kata, Mitaa na vijiji vyao.” Aliongeza Ndg. Mabiki.

Akizungumza kwa niaba ya watendaji wenzake, Mwenyekiti wa Watendaji wote ambaye pia ni Mtendaji wa Kata ya Kalangalala Bw. Hamad Hussein ametoa shukrani za dhati kwa Katibu Tarafa wa Geita kwa kutambua umuhimu wao katika kukumbushwa juu ya mbinu za utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku. Kadhalika wametoa ombi kwa Halmashauri na viongozi wa Mkoa kuwapatia mafunzo hayo mara kwa mara ili kuendelea kuwaweka karibu zaidi na taasisi yao na kuboresha utendaji kazi.

Akibainisha changamoto wanazokabiliana nazo Katibu wa Watendaji ambaye ni Mtendaji wa Kata ya Bombambili Bw. Cosmas Bayaga amesema kuwa watendaji wanahitaji fedha za kuendeshea ofisi zao, usafiri utakaowawezesha kuwatembelea wananchi wao mara kwa mara inapohitajika, uhaba wa majengo ya ofisi za Kata, Mitaa na Vijiji.  Pia baadhi ya wananchi bado wanahitaji elimu ya kuchangia shughuli za maendeleo kwani mwitikio uliopo sio wa kuridhisha.



Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa