• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Washiriki wa Maonyesho ya Mdini Watakiwa Kujiimarisha kibiashara

Posted on: September 23rd, 2019

Washiriki wa Maonyesho ya Madini Watakiwa Kujiimarisha

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa amewashauri washiriki wa Maonyesho ya pili ya Teknolojia ya Madini kuibuka na mbinu mpya za uchimbaji ambazo zitaimarisha shughuli zao baada ya kumaliza maonyesho hayo.

Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo alipozungumza na hadhara iliyoshiriki uzinduzi rasmi wa Maonyesho ya pili ya Teknolojia ya Madini yaliyofanyika katika viwanja vya CCM Kalangalala mjini Geita Tarehe 22/9/2019.

Mhe. Kassim Majaliwa amewahimiza wachimbaji wadogo na wakubwa kuitumia kikamilifu taasisi ya jiolojia na utafiti wa madini Tanzania ili kupata taarifa muhimu na sahihi za kijiolojia pamoja na ushauri wa kitaalam katika utafutaji wa madini. “Kwa kutumia fursa ya uwepo wa Taasisi hiyo kutawaepusha kuwekeza fedha nyingi katika maeneo ambayo hayana madini na hivyo kuepuka kufanya uwekezaji wa kubahatisha ambao hauna tija kwao na Serikali kwa ujumla.” Aliongeza Waziri Mkuu.

Waziri Mkuu amewaonya wafanyabishara wasiokuwa waaminifu ambao wanajihusisha na utoroshaji wa madini waache mara moja kwani Serikali ipo makini na imejidhatiti vya kutosha kupambana na vitendo hivyo. Pia amewaahidi wachimbaji kuwa Serikali itaendelea kutatua changamoto wanazokutana nazo wachimbaji wadogo ikiwemo matumizi ya teknolojia duni katika uchimbaji na uchenjuaji madini.

Akizungumzia lengo la Maonyesho hayo Mwenyekiti wa maandalizi Mhandisi Chacha Wambura amesema kuwa maonyesho hayo yamelenga kuonyehsa, kukuza, kuimarisha na kuendeleza uchimbaji hususan mdogo wa Dhahabu. Kadhalika kampuni ndogo na kubwa zinazojishughulisha na uchimbaji madini zinapata fursa ya kujitangaza kupitia maonyeho hayo.

Maonyesho ya Pili ya Teknolojia na Uwekezaji kwenye Sekta ya Madini katika Mkoa wa Geita yatahitimishwa tarehe 29/09/2019 ambapo wafanyabiashara tofauti wa Madini na bidhaa nyingine wamejumuika kutangaza shughuli za kiuchumi wanazotekeleza. Kauli mbiu ya mwaka huu ni Madini ni Chachu ya Ukuaji wa Uchumi wa Viwanda “ Tuwekeze kwenye Teknolojia Bora ya Uzalishaji na Tuyatumie Masoko ya Madini.”



Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa