• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Wananchi Watakiwa Kupinga Ukatili

Posted on: December 11th, 2020

Wananchi Watakiwa Kupinga Vitendo Vya Kikatili

Wananchi wa Kata ya Mgusu na Halmashauri ya Mji wa Geita kwa ujumla wameaswa kuhakikisha kuwa wanapinga vitendo vyote vya ukatili wa kijinsia vinavyoendelea katika maeneo yao.

Kauli hiyo imetolewa na Katibu Tarafa wa Geita Ndugu Innocent Mabiki alipokuwa akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Geita wakati wa Maadhimisho ya kilele cha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia zilizofanyika hivi karibuni katika Kata ya Mgusu.

Ndg. Mabiki ameeleza kuwa kulingana na taarifa zinazotolewa na Idara ya Maendeleo ya jamii katika kata ya Mgusu bado kuna viashiria vinavyoonyesha uwepo wa matukio mbalimbali ya ukatili wa kijinsia kwa pande zote mbili  na ili kukomesha suala hilo wananchi wanatakiwa kukemea vitendo hivyo na kutoa taarifa kwenye mamlaka za kiserikali pindi vitendo hivyo vinapotendeka.

Afisa Tarafa wa Geita pia ameishauri Idara ya Maendeleo Halmashauri ya mji Geita kujitahidi kutoa elimu / warsha au makongamano ya mara kwa mara kwenye jamii ili wananchi waweze kuelewa athari na  kuepuka kutendeana ukatili  wa kijinsia.

Mtendaji wa Kata ya Mgusu Victor Bashingwa amesema changamoto kubwa wanayokabiliana nayo wakati wa utatuzi wa kesi zinazohusisha matendo ya kikatili ni tabia ya upande wa walalamikaji hususan wanawake kukatisha muendelezo wa mashtaka kwa kuomba waume zao wasamehewe kwa ukatili walioufanya kwa wake zao na watoto na kuzifanya kesi hizo kushindwa kufikia hatua za kisheria.

Kwa upande wake Mratibu wa dawati la Maendeleo ya jinsia Halmashauri ya Mji Geita Bi. Saga Mtaki amesema kuwa ofisi yake hupokea wanawake na watoto ambao huathirika na vitendo vya ukatili wa kijinsia ikilinganishwa na wanaume. Ukatili huo ni kama vile ukatili wa kimwili, kingono, kisaikolojia na ukatili wa kiuchumi.  Ambapo kwa kipindi cha mwezi Januari hadi Novemba 2020 wanaume 43, wanawake 215 na watoto 16 wamejitokeza kuleta taarifa na malalamiko.



Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa