• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Wananchi Wapongezwa Kwa Kujitoa Kuboresha Miundombinu

Posted on: February 3rd, 2020

Wananchi Wapongezwa Kwa  Kujitoa Kuboresha Miundombinu

Wananchi wa Mtaa wa Nyantorotoro wamepongezwa kwa jitihada zao za dhati katika kuhakikisha wanarekebisha barabara ya Nyantorotoro hadi Mbabane ambayo imeharibika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya nchi.

Pongezi hizo zimetolewa na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Geita Barnabas M. Mapande akiongozana na Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Geita wakati wa ziara yao kutembelea maeneo mbalimbali ya Halmashauri ya Mji wa Geita hivi karibuni, ambapo yeye na timu yake walishiriki katika shughuli ya kupanga mawe kwenye barabara hiyo ili kuruhusu gari nimayosogeza vifaa vya ukarabati kuweza kupita eneo lililoharibika vibaya.

Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Geita amewaeleza  wakazi wa Nyantorotoro kuwa marekebisho ya barabara hiyo yataanza hivi karibuni kwa sababu mkandarasi ameshapatikana kwa ajili ya kukarabati  ambapo kwa sasa anafanya kazi ya kutengeneza makaravati.  Kadhalika amewaahidi kuondokana na kero ya umeme kwa  sababu kituo kikubwa cha kupozesha umeme kinajengwa katika eneo la Mpomvu, irani na Mtaa wao.

Mwenyekiti wa Mtaa wa Nyantorotoro  Ndugu Bahati Kaswahili ameiomba Serikali iwasaidie kurekebisha barabara hiyo ambayo ina watumiaji wengi na pia inakwenda kwenye Shule mbili za msingi, hivyo kwa sasa walimu na wanafunzi wanakabiliana na changamoto ya kufika shuleni.

Mhe. Barnabas Mapande ametumia fursa hiyo kutembelea shule ya Sekondari Geita kwa lengo la kuzungumza na wanafunzi, kutambua miradi inayotekelezwa shuleni hapo na kutambua changamoto mbalimbali zinazowakabili. Akiwa shuleni hapo amewataka wanafunzi wajitahidi kusoma kwa bidii ili wafaulu vizuri na kubadilisha matokeo ya shule na kurejesha hisoria ya Geita Sekondari.



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MANISPAA YA GEITA June 03, 2025
  • TANGAZO KUHUSU FURSA ZA MIKOPO YA ASILIMIA 10 May 27, 2025
  • Zaidi

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WA KOZI YA AWALI YA JESHI LA AKIBA WAPATIWA ELIMU YA HABARI

    July 04, 2025
  • WATUMISHI WAKUMBUSHWA KUFANYA KAZI KWA UMOJA

    June 30, 2025
  • BONAZA LA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA GEITA NA HALMASHAURI YA WILAYA YA KWIMBA

    June 28, 2025
  • WANANCHI WA MANISPAA YA GEITA WAKUMBUSHWA KUENDELEA KUFANYA USAFI

    June 28, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa