• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Wananchi Wakumbushwa Kujenga Desturi Ya Kupenda Usafi

Posted on: April 29th, 2022

Wananchi Wakumbushwa Kujenga Desturi Ya Kupenda Usafi

Mkuu wa Mkoa wa Geita Mheshimiwa Rosemary Senyamule amewaasa wananchi wa wilaya ya Geita na Mkoa mzima kwa ujumla kujenga tabia ya kupenda kufanya usafi katika maeneo yao ya kazi na majumbani pasipo kusubiri kuhamasishwa au kusimamiwa na viongozi.

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Geita tarehe 26/4/2022 aliposhiriki shughuli ya usafi wa mazingira Pamoja na wananchi katika mtaa wa shilabela na Stendi ya mabasi Geita mjini ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 58 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Mhe. Senyamule amesema kuwa wananchi wanatakiwa kuacha mara moja tabia ya kujisaidia hovyo, kutupa taka sehemu zisizo rasmi bali waanzishe vikundi maalum vitakavyosimamia jukumu la usafi wa mazingira katika maeneo wanayofanyia kazi kama stendi na kuhakikisha mwananchi atakayekaidi na kushindwa kudumisha usafi kama desturi achukuliwe hatua kwa kutozwa faini kulingana na utaratibu uliowekwa.

“Mkoa wa Geita unaendelea kuthamini kazi kubwa iliyofanywa na waasisi wa muungano kwa kuunganisha nchi hizi mbili na kuunda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Pia nitumie fursa hii kuwapongeza Marais wote waliopita katika awamu tofauti na walioko madarakani kwa kuendelea kuudumisha na kuuimarisha muungano wetu.” Aliongeza Mhe. Senyamule.

Kadhalika Mkuu wa Mkoa wa Geita amewashukuru wananchi kwa kushiriki vyema katika zoezi la Anwani na Makazi, pia kuwakumbusha kushiriki vyema katika zoezi la Sensa ya watu na makazi itakayofanyika mwezi Agosti. Mhe. Mkuu wa Mkoa amewasihi wazazi na walezi wote kuwapeleka Watoto wenye umri kuanzia miaka 0 hadi 5 kwenye chanjo ya polio itakayoanza kutolewa tarehe 28/04/2022.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Geita Mheshimiwa Wilson Shimo amewaagiza wananchi wake kufanya usafi kama tabia ambayo wanatakiwa waijenge na sio kusubiri kufanya usafi siku moja kwenye mwezi ambayo ni jumamosi ya mwisho wa mwezi chini ya usimamizi wa wataalam wa usafi na viongozi wao wa mitaa.



Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa