• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Nyuki na Misitu
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

Wananchi Wahimizwa Kupanda miti Ili Kutunza Mazingira

Posted on: June 23rd, 2022

Wananchi Wahimizwa kupanda miti Ili Kutunza Mazingira

Mkuu Wa Wilaya ya Geita Mhe. Wilson Shimo amewahimiza wananchi wilayani Geita kuhakikisha wanapanda miti ya matunda, kivuli, matimba na mbao kwenye kaya zao na mashambani ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi na kuepusha maeneo yao kuwa majangwa.

Mhe. Shimo ametoa kauli hiyo hivi karibuni alipofanya ziara ya kikazi katika Mtaa wa Nyakato Kata ya Nyanguku kwa lengo la kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali ya awamu ya sita na kuzungumza na wakazi wa mtaa huo kwa kuwakumbusha masuala muhimu kwa mustakabali wa maendeleo yao binafsi na Taifa kwa ujumla.

Akiwa katika mtaa wa Nyakato, Mkuu Wa Wilaya ya Geita amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kuwezesha ujenzi wa vyumba 415 vya madarasa katika Wilaya ya Geita, ujenzi wa zahanati na vituo vya afya, ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami, ujenzi wa shule maalum ya Sekondari Fulano katika kata ya Shiloleli kupitia maradi wa SEQUIP na mradi mkubwa wa maji kutoka ziwa Viktoria ambao umeshaanza kutekelezwa.

“Nipende kutumia fursa hii kuwapongeza wananchi wa mtaa wa Nyakato kwa kujitoa na kushirikiana na Serikali katika ujenzi na usimamizi wa mradi wa Shule mpya ya sekondari katika mtaa wenu. Nawaagiza kuhakikisha mnakamilisha ujenzi huu mapema ili muhula ujao wanafunzi wanaoenda kupata elimu katika kata Jirani ya Ihanamilo waanze kusomea nyumbani kwao katika madarasa hayo.” Aliongeza Mhe. Shimo

Wazazi wametakiwa kuweka msisitizo katika suala la elimu kwa Watoto wao kwa kukemea utoro wa wanafunzi mashuleni. kadhalika wameshauriwa kuboresha kilimo na kufanya kilimo chenye tija kwa kutumia samadi na mbolea nyinginezo za asili, kilimo chenye tija kitawawezesha kuvuna mazao mengi kwa ajili ya chakula na biashara.

Mhe. Shimo aliwakumbusha viongozi wa mitaa na vijiji kufanya ulinzi shirikishi ili kuwabaini wezi, wauaji na wahalifu wote wanaojitokeza kwenye maeneo yao. Pia wananchi wamekumbushwa kushiriki kikamilifu katika zoezi la Sensa ya Watu na Makazi itakayofanyika Agosti 23/ 2022 kwa kutoa taaarifa sahihi kwa makarani watakaopita kwenye nyumba zao na kuhakikisha hawawafichi watu wenye ulemavu, wazee sana na wagonjwa wanaoishi kwenye kaya zao.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 25, 2022
  • TANGAZO LA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI May 10, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • Wananchi Wahimizwa Kupanda miti Ili Kutunza Mazingira

    June 23, 2022
  • Maonyesho ya Expo Dubai Yaleta Neema Geita

    June 15, 2022
  • Wakurugenzi Waagizwa Kutenga Bajeti za Madampo

    June 07, 2022
  • Wakurugenzi Waagizwa Kutenga Bajeti za Madampo

    June 07, 2022
  • Zaidi

Video

Mtakuja Inayomeremeta
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Applications Forms
  • Acts
  • Barua pepe za watumishi
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa