• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Wananchi Wahimizwa Kupanda miti Ili Kutunza Mazingira

Posted on: June 23rd, 2022

Wananchi Wahimizwa kupanda miti Ili Kutunza Mazingira

Mkuu Wa Wilaya ya Geita Mhe. Wilson Shimo amewahimiza wananchi wilayani Geita kuhakikisha wanapanda miti ya matunda, kivuli, matimba na mbao kwenye kaya zao na mashambani ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi na kuepusha maeneo yao kuwa majangwa.

Mhe. Shimo ametoa kauli hiyo hivi karibuni alipofanya ziara ya kikazi katika Mtaa wa Nyakato Kata ya Nyanguku kwa lengo la kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali ya awamu ya sita na kuzungumza na wakazi wa mtaa huo kwa kuwakumbusha masuala muhimu kwa mustakabali wa maendeleo yao binafsi na Taifa kwa ujumla.

Akiwa katika mtaa wa Nyakato, Mkuu Wa Wilaya ya Geita amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kuwezesha ujenzi wa vyumba 415 vya madarasa katika Wilaya ya Geita, ujenzi wa zahanati na vituo vya afya, ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami, ujenzi wa shule maalum ya Sekondari Fulano katika kata ya Shiloleli kupitia maradi wa SEQUIP na mradi mkubwa wa maji kutoka ziwa Viktoria ambao umeshaanza kutekelezwa.

“Nipende kutumia fursa hii kuwapongeza wananchi wa mtaa wa Nyakato kwa kujitoa na kushirikiana na Serikali katika ujenzi na usimamizi wa mradi wa Shule mpya ya sekondari katika mtaa wenu. Nawaagiza kuhakikisha mnakamilisha ujenzi huu mapema ili muhula ujao wanafunzi wanaoenda kupata elimu katika kata Jirani ya Ihanamilo waanze kusomea nyumbani kwao katika madarasa hayo.” Aliongeza Mhe. Shimo

Wazazi wametakiwa kuweka msisitizo katika suala la elimu kwa Watoto wao kwa kukemea utoro wa wanafunzi mashuleni. kadhalika wameshauriwa kuboresha kilimo na kufanya kilimo chenye tija kwa kutumia samadi na mbolea nyinginezo za asili, kilimo chenye tija kitawawezesha kuvuna mazao mengi kwa ajili ya chakula na biashara.

Mhe. Shimo aliwakumbusha viongozi wa mitaa na vijiji kufanya ulinzi shirikishi ili kuwabaini wezi, wauaji na wahalifu wote wanaojitokeza kwenye maeneo yao. Pia wananchi wamekumbushwa kushiriki kikamilifu katika zoezi la Sensa ya Watu na Makazi itakayofanyika Agosti 23/ 2022 kwa kutoa taaarifa sahihi kwa makarani watakaopita kwenye nyumba zao na kuhakikisha hawawafichi watu wenye ulemavu, wazee sana na wagonjwa wanaoishi kwenye kaya zao.


Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa