• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Nyuki na Misitu
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Wananchi Waaswa Kujitoa Katika Ujenzi Wa Miradi

Posted on: January 27th, 2023

Wananchi Waaswa Kujitoa Katika Ujenzi Wa Miradi

Wananchi wa Halmashauri ya Mji wa Geita wameaswa kujitoa kikamilifu katika utekelezaji wa ujenzi wa Miradi mbalimbali ambayo inatekelezwa katika kata na mitaa yao kupitia fedha za Mfuko wa Maendeleo ya Jamii Nchini (TASAF).

Ujumbe huo umetolewa tarehe 27/01/2023 na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mheshimiwa Deogratius J. Ndejembi alipofanya ziara ya kikazi Wilayani Geita na kukagua ujenzi wa Jengo la utawala katika Shule ya Sekondari Nyanza na Madarasa mawili, Ofisi moja ya walimu na choo cha matundu sita katika Shule ya Msingi Kivukoni Geita mjini.

Mhe. Ndejembi amewasihi wananchi kutambua upendo ambao Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameendelea kuuonyesha kwao kwa kuwapatia fedha nyingi ambazo zinatumika katika utekelezaji wa Miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo miradi ya TASAF.

“Mhe. Rais mama yetu Samia Suluhu Hassan anatambua namna ambavyo wananchi mnapambana kuchapa kazi katika maeneo yenu kwa lengo la kujikwamua kiuchumi, ndiyo maana ameendelea kuwaboreshea na kuwajengea miradi mbalimbali katika sekta za elimu, afya, miundombinu nk. Hivyo ndugu zangu mjitahidi kuitunza miradi hiyo ili iwanufaishe ninyi na vizazi vyenu, Pia mtambue fedha za TASAF ni za Serikali na sio za mfadhili kama baadhi ya wananchi wanavyofikiri.’’ Aliongeza Mhe. Ndejembi.

Katibu Tawala Mkoa wa Geita Profesa Godius Kahyarara ametoa shukrani za dhati kwa Serikali ya awamu ya sita kwa kuendelea kuuwezesha mkoa wa Geita fedha kwa ajili ya ujenzi wa miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa madarasa mapya kwa ajili ya kidato cha kwanza 2023, miradi ya afya, maji, umeme, barabara na TASAF ambapo mpaka mwezi Disemba 2022 Halmashauri ya Mji wa Geita imepokea jumla ya Shilingi 799,662,725.82 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya Miundombinu chini ya TASAF.


Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI February 23, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI July 22, 2022
  • TANGAZO LA KAZI ZA MACHINJIO August 16, 2022
  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA GEITA MJI December 02, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • Bilioni 9.8 Kutekeleza Miradi Geita Mji Kupitia CSR

    March 22, 2023
  • Wanawake Watakiwa Kuwa Vinara Kupinga Ukatili

    March 10, 2023
  • Geita Gold FC Yazindua Mfumo Wa Usajili Wa Wanachama

    February 23, 2023
  • Madiwani Geita Mji Wafanya Ziara Ya Mafunzo Chalinze

    February 16, 2023
  • Zaidi

Video

FURSA ZA UWEKEZAJI KATIKA MACHINJIO YA KISASA MPOMVU
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Applications Forms
  • Acts
  • Barua pepe za watumishi
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa