• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Wananchi Waaswa Kujitoa Katika Ujenzi Wa Miradi

Posted on: January 27th, 2023

Wananchi Waaswa Kujitoa Katika Ujenzi Wa Miradi

Wananchi wa Halmashauri ya Mji wa Geita wameaswa kujitoa kikamilifu katika utekelezaji wa ujenzi wa Miradi mbalimbali ambayo inatekelezwa katika kata na mitaa yao kupitia fedha za Mfuko wa Maendeleo ya Jamii Nchini (TASAF).

Ujumbe huo umetolewa tarehe 27/01/2023 na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mheshimiwa Deogratius J. Ndejembi alipofanya ziara ya kikazi Wilayani Geita na kukagua ujenzi wa Jengo la utawala katika Shule ya Sekondari Nyanza na Madarasa mawili, Ofisi moja ya walimu na choo cha matundu sita katika Shule ya Msingi Kivukoni Geita mjini.

Mhe. Ndejembi amewasihi wananchi kutambua upendo ambao Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameendelea kuuonyesha kwao kwa kuwapatia fedha nyingi ambazo zinatumika katika utekelezaji wa Miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo miradi ya TASAF.

“Mhe. Rais mama yetu Samia Suluhu Hassan anatambua namna ambavyo wananchi mnapambana kuchapa kazi katika maeneo yenu kwa lengo la kujikwamua kiuchumi, ndiyo maana ameendelea kuwaboreshea na kuwajengea miradi mbalimbali katika sekta za elimu, afya, miundombinu nk. Hivyo ndugu zangu mjitahidi kuitunza miradi hiyo ili iwanufaishe ninyi na vizazi vyenu, Pia mtambue fedha za TASAF ni za Serikali na sio za mfadhili kama baadhi ya wananchi wanavyofikiri.’’ Aliongeza Mhe. Ndejembi.

Katibu Tawala Mkoa wa Geita Profesa Godius Kahyarara ametoa shukrani za dhati kwa Serikali ya awamu ya sita kwa kuendelea kuuwezesha mkoa wa Geita fedha kwa ajili ya ujenzi wa miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa madarasa mapya kwa ajili ya kidato cha kwanza 2023, miradi ya afya, maji, umeme, barabara na TASAF ambapo mpaka mwezi Disemba 2022 Halmashauri ya Mji wa Geita imepokea jumla ya Shilingi 799,662,725.82 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya Miundombinu chini ya TASAF.


Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa