• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Usafishaji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Nyuki na Misitu
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

WANANCHI WA MKOA WA GEITA WATAKIWA KUWA WASAFI

Posted on: January 29th, 2022

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Innocent Bashungwa ametoa wito kwa wananchi wa mkoa wa Geita kuwa sehemu ya mfano kwa kuzingatia usafi katika mazingira yanayowazunguka kwa hiari.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Innocent Bashungwa (aliyesimama juu ya kiti),akizungumza wakati akizindua  Kampeni ya usafi wa mazingira uliofanyika leo Januari 29,2022 Mkoani Geita.

Waziri Bashungwa ametoa wito huo leo Januari 29, 2022 wakati akizindua wa Kampeni ya usafi wa mazingira Mkoa wa Geita na kauli mbiu ya “Usafi wa Geita ni wajibu wangu, Mazingira bora ni ni fahari yangu”

“Utaratibu mliouweka kila wiki kufanya usafi mshirikiane na makapuni yanayochimba dhahabu hapa Geita na wadau wengine kuhakikisha tunakuwa na Geita safi inayomelemeta” amesema Bashungwa

Aidha, Waziri Bashungwa amewataka wasafiri wote kubadilika kwani kuna baadhi ya watu wanapanda daladala na mabasi ya kwenda mikoa wakimaliza kunywa soda na biskuti au kitu chochote kilicho kwenye mfuko au chupa wakimaliza kutumia wanatupa dirishani kitu ambacho ni uvunjifu wa sheria ya mazingira na sheria za usalama barabarani hivyo tunapaswa kubadiika ili kuweka mazingira safi.

Pia, Waziri Bashungwa amemuelekeza Mkuu wa Wilaya ya Geita Mjini kushirikiana na na Baraza la madiwani kuweka mikakati ya kuboresha stendi ya mkoa ili kuwa na stendi bora na ya kisasa inayotambulisha Mkoa wa Geita.

Nae, Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhe. Rosemary Senyamule ameeleza kuwa wamekubaliana na wananchi kuhakikisha kila mtu anatunza mazingira katika eneo lake ambapo zoezi la kufanya usafi litakuwa endelevu na litafanyika kila Jumamosi ya kila wiki na kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi zoezi hili litafanyika kwa pamoja kama leo hii.

Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhe. Rosemary Senyamule, akizungumza wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya usafi wa mazingira uliofanyika leo Januari 29,2022 Mkoani Geita.

Uzinduzi wa Kampeni hiyo ya usafi ni utekelezaji wa Maelekezo ya Waziri Bashungwa aliyoyatoa kwa Wakuu wa Mikoa pamoja na Wakuu wa Wilaya zote nchini kuhakikisha wanasimamia suala zima la usafi hususani katika miradi yote ya barabara, masoko na stendi.

Katika uzinduzi huu Taasisi mbalimbali za kiserikali, binafsi na za dini pamoja na wananchi zimeungana katika kuhakikisha zoezi hili linafanikiwa zikiwemo vyombo vya Ulinzi na usalama, Mamlaka ya mapato Tanzania, Shirikia la Umeme, RUWASA, TARURA, GGML, GEUWASA, CRDB Bank, NMB Bank, NBC Bank, shirika la Posta Tanzania, Plan International na Madhehebu mbalimbali ya Dini.

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 25, 2022
  • TANGAZO LA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI May 10, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • Wananchi Wahimizwa Kupanda miti Ili Kutunza Mazingira

    June 23, 2022
  • Maonyesho ya Expo Dubai Yaleta Neema Geita

    June 15, 2022
  • Wakurugenzi Waagizwa Kutenga Bajeti za Madampo

    June 07, 2022
  • Wakurugenzi Waagizwa Kutenga Bajeti za Madampo

    June 07, 2022
  • Zaidi

Video

Mtakuja Inayomeremeta
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Applications Forms
  • Acts
  • Barua pepe za watumishi
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa