• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Wanafunzi waishukuru TASAF

Posted on: March 10th, 2018

Wanafunzi wanufaika waishukuru TASAF

Wanafunzi wanaosoma katika Shule ya Msingi Kalangalala katika Halmashauri ya Mji Geita wameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jam

(TASAF) awamu ya tatu ambao umelenga  kunusuru kaya  maskini kwa kuziwezesha familia zao kuweza kujikimu kimaisha.

Wanafunzi hao wametoa shukran i hizo walipotembelewa  shuleni  kwao  na Maafisa kutoka TASAF hivi karibuni.

“Najisikia vibaya kuchelewa kuanza shule kwa sababu baba yangu alikosa fedha ya kuninunulia sare za shule, laiti mzazi wangu angekuwa na uwezo ningekuwa kidato cha kwanza mwaka huu”. Ni kauli ya hisia aliyoisema mwanafunzi Mishangi Jonas mwanafunzi wa darasa la saba katika shule hiyo.  Mishangi amesema baada ya TASAF kuiwezesha familia yake, baba yake ameweza kumnunulia sare mpya, kupata chakula kwa milo mitatu na kiwango chake cha ufaulu kimepanda kutoka nafasi ya 12 kati ya 217 darasani hadi nafasi ya kwanza hivi sasa.

Kwa upande wake Mwalimu Mkombozi Lembo ambaye ni msimamizi wa wanafunzi wanaotoka katika kaya maskini amesema kuwa jumla ya wanafunzi  55  kuanzia darasa la kwanza hadi la saba katika Shule ya Msingi Kalangalala wanahudumiwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii. Mwl. Lembo ameishukuru TASAF kwa mchango wao katika elimu kwani mwenendo wa kitaaluma wa wanafunzi hao awali haukuwa mazuri lakini baada ya mpango wa TASAF maendeleo yao kimasomo yamepanda na wanafunzi wanaomaliza elimu ya msingi wanafaulu vizuri kuendelea na masomo ya sekondari.

Mwalimu Lembo ametoa ushauri kwa TASAF kuendelea kutoa elimu kwa wakuu wa kaya

(wazazi au walezi) ili waweze kutimiza wajibu wao kikamilifu katika kuwahudumia watoto wao mahitaji muhimu ya shule na watambue umuhimu wa wao kama wazazi au walezi kusimamia maendeleo yao kitaaluma. Kuna wazazi wanajitahidi kutimiza wajibu wao lakini baadhi yao hutumia fedha wanazopewa kwa manufaa yao binafsi pasipo kuwakumbuka watoto wao ambao ni wanafunzi.


Mratibu wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii katika Halmashauri ya Mji Geita Ndg. Upendo Kilonge amesema jumla ya walengwa 4659 kutoka katika vijiji 13 na mitaa 27 ndani ya Halmashauri ya Mji wako katika mpango wa kunusuru kaya zisizojiweza.



Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa