• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

WANAFUNZI 120 KUTOKA GEITA KUSHIRIKI UMITASHUMTA KITAIFA IRINGA

Posted on: June 2nd, 2025


Katibu Tawala Mkoa wa Geita Ndg.Mohamed Gombati ameagana rasmi na timu ya wanafunzi 120 Kutoka Mkoa wa Geita ambao watashiriki Mashindano ya UMITASHUMTA Ngazi ya Taifa Mkoani Iringa.

Akizungumza wakati wa kufunga mashindano hayo kwa ngazi ya Mkoa tarehe 1 Juni 2025 katika viwanja vya shule ya Sekondari ya Wasichana Nyankumbu Manispaa ya Geita, Katibu Tawala Mkoa wa Geita amewapongeza washiriki wote kwa kufanya vyema katika michezo ya aina mbalimbali.

“Isingekuwa utaratibu ,wote mmefanya vizuri, lakini muongozo unaelekeza Mkoa kwenda na wanafunzi 120 pekee hivyo hatuna budi kupeleka timu yenye idadi ya wanafunzi waliokusudiwa.”ameongeza Gombati

Ndg. Mohamed Gombati ametoa rai kwa wanafunzi waliokosa nafasi ya kwenda kushiriki UMITASHUMTA ngazi ya Taifa kuto kata tamaa na waendelee kujituma na Kufanya maandalizi ili mwakani panapo majaaliwa wawepo kwenye timu ya Mkoa itayoshiriki mashindano ya kitaifa.

Katibu Tawala Mkoa wa Geita amewaasa wanafunzi waliopata nafasi ya kushiriki mashindano ya kitaifa kuwa na nidhamu,bidii na ubunifu ili warudi na vikombe vya ushindi.

Kwa upande wake  Afisa Elimu Mkoa wa Geita Mwl. Antony Mtweve,amesema timu ya Mkoa yenye wanafunzi 120 pamoja na itaanza safari ya kuelekea Mkoani Iringa tarehe 5 Juni 2025 ambapo mashindano ya Kitaifa yatafanyika huko.

Afisa Michezo Mkoa Bahati Rodgers, amesema wanafunzi 120 wanaoenda kushiriki mashindano ya UMITASHUMTA ngazi ya taifa wamepatikana ndani ya halmashauri  6 zote za Mkoa wa Geita, ambao wanashiriki kwenye michezo ya mpira wa miguu kwa wavulana na wasichana,mchezo wa wavu,kikapu ,riadha pamoja na fani za ndani na watawakilisha Mkoa wa Geita kitaifa kwa michezo hiyo.

Mashindano ya UMITASHUMTA yanaongozwa na kauli mbiu isemayo"viongozi bora ni msingi wa maendeleo, taaluma,sanaa na michezo,shiriki uchaguzi mkuu 2025 kwa amani na utulivu"

MATUKIO MBALIMBALI KATIKA PICHA






TUFUATILIE KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII
Instagram

Facebook

X

Youtube

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MANISPAA YA GEITA June 03, 2025
  • TANGAZO KUHUSU FURSA ZA MIKOPO YA ASILIMIA 10 May 27, 2025
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BILIONI 19.1 KUTEKELEZA UJENZI KITUO KIKUU CHA MABASI MANISPAA YA GEITA

    June 06, 2025
  • WATUMISHI GEITA MANISPAA WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA NA KANUNI ZA UTUMISHI WA UMMA

    June 05, 2025
  • WATUMISHI WA MANISPAA YA GEITA WATAKIWA KUJIEPUSHA NA MITANDAO YA KIJAMII YENYE TAARIFA ZA UPOTOSHAJI

    June 04, 2025
  • ZIARA YA KUSIKILIZA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI VITUONI

    June 03, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa