• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Wajasiriamali Watakiwa Kuwa Waaminifu

Posted on: January 9th, 2019

Wajasiriamali Watakiwa kuwa Waaminifu

Wajasiriamali wadogo wanaojishughulisha na biashara mbalimbali katika Wilaya  ya Geita wameagizwa kuwa wakweli na waaminifu katika utoaji wa taarifa zao binafsi na kuwasilisha vielelezo vya muhimu vinavyohitajika katika biashara zao wakati wa  zoezi la ugawaji  vitambulisho vya wajasiriamali wadogo linaloendelea katika maeneo mbalimbali ya Halmashauri ya  Mji wa Geita.

Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Geita Mheshimiwa  Josephat Maganga alipokuwa akizindua rasmi zoezi la ugawaji wa vitambulisho vya bei nafuu katika Wilaya ya Geita, uzinduzi uliofanyika hivi karibuni katika viwanja vya Gedeco Halmashauri ya Mji wa Geita.

Mheshimiwa Maganga ametoa rai hiyo na kusisitiza kuwa  wafanyabiashara wakubwa ambao biashara zao zimekwishatambliwa na TRA wasitumie mwanya huo kwa kuwatumia wajasiriamali wadogo kuwaandikishia majina kwa lengo la kukwepa kuchangia mapato halali ya Serikali.

Mkuu wa Wilaya ya Geita pia amewaagiza wajumbe wa kamati ya usimamizi wa zoezi hilo ambao ni watumishi kuanzia ngazi ya vitongoji hadi Ofisi za Halmashauri kuifanya kazi hiyo kwa weledi na uaminifu mkubwa wakitamua kuwa kazi hiyo imeasisiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hivyo haki inapaswa kutendeka.

Kwa upande wake Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania Mkoa wa Geita Ndg. James Jilala ameainisha sifa za watakaopatiwa vitambulisho hivyo kuwa ni pamoja na biashara zao kutosajiliwa na Mamlaka ya mapato, mauzo ghafi ya biashara zao yasizidi shilingi milioni nne pia watatakiwa kulipia shilingi elfu ishirini kwa mwaka.

Ndg. Jilala ameongeza kuwa wajasiriamali hao wanatakiwa watambue kwamba nia ya Serikali katika zoezi hilo ni kuwainua ili wakue na kuwa na biashara kubwa zitakazowawezesha kuchangia katika pato la Taifa mara baada ya wao kukua zaidi kibiashara.

Jumla ya wajasiriamali 3316 wametambuliwa katika kata 13 za Halmashauri ya Mji Geita na wote watapatiwa vitambulisho katika zoezi linaloendelea katika maeneo mbalimbali ndani ya Mji wa Geita na nchi nzima kwa ujumla.



Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa