• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Vitambulisho vya Taifa

Posted on: December 7th, 2017

Wananchi watakiwa Kuthamini zoezi la uandikishaji Uraia

Wananchi wanaoishi katika maeneo yote ya Halmashauri ya Mji Geita wametakiwa kutumia fursa iliyotolewa na Serikali ya awamu ya tano kupitia mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa, kujitokeza kwa wingi kwenye zoezi la kujiandikisha kwa lengo la kupata vitambulisho vya uraia na kutambulika.

Rai hiyo imetolewa hivi karibuni na Mkuu wa Wilaya ya Geita Ndg. Herman C. Kapufi wakati wa uzinduzi rasmi wa zoezi la uandikishaji wa vitambulisho vya Taifa kwa wakazi wote katika Halmashauri ya Mji Geita. Uzinduzi huo umefanyika katika viwanja vya Ofisi ya Kata ya Kalangalala.

Mkuu wa Wilaya ya Geita ameongeza kuwa wananchi wajitokeze kwa wingi katika zoezi hili kwani vitambulisho vya Taifa vitahakikisha raia wote wa Tanzania wanapata huduma stahiki za msingi na kijamii kama kupata malipo ya pensheni, haki za matibabu, haki za kujiunga na masomo, kujiunga na mifuko ya jamii na kumiliki ardhi. Pia itasaidia suala la usalama katika nchi kwa kuzingatia muingiliano wa watu uliopo nchini na matendo ya kigaidi yanayoendelea Duniani.

Ndg. Herman Kapufi ametoa rai kwa Maafisa watendaji  na wenyeviti wa mitaa kushirikiana na mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa kufanya kazi hiyo kwa uadilifu mkubwa, hususani katika kuepuka uhujumu wa aina yoyote katika wilaya ya Geita kwa ujumla.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Geita Mhandisi  Modest Apolinary amesema kuwa Halmashauri itaendelea kushirikiana na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa( NIDA) katika kulinda usalama  wakati na baada ya zoezi, kuelimisha umma, kuhamasisha  na kuhakikisha wananchi wote wenye sifa na vigezo wamesajiliwa na kupatiwa kitambulisho cha Taifa. Pia kuweka na kuanzisha matumizi bora ya kitambulisho.

Tangu kuanza kwa zoezi la usajili na utambuzi wa watu wanaoishi katika Halmashauri ya Mji wa Geita mwezi Agosti 2017 zaidi ya watu 1,034,000( laki moja na elfu thelathini na nne) sawa na asilimia 75.33% wameshaandikishwa. Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa imeahidi kuanza kugawa vitambulisho vya wananchi hao kuanzia mwezi Januari 2018. Kauli Mbiu ikiwa ni “ Kitambulisho cha Taifa kwa Usalama na Maendeleo ya Taifa.”



Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa