• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Vijana, Wanawake na Watu Wenye Ulemavu Geita Mji Wapatiwa Milioni 233

Posted on: October 16th, 2020

Vijana, Wanawake, Watu wenye ulemavu Geita Mji Wapatiwa Milioni 233

Halmashauri ya Mji wa Geita kupitia mapato yake ya ndani imefanikiwa kutoamikopo ya shilingi milioni 233 kwa vikundi 49 vya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu ambapo vijana wamepewa mkopo wa shilingi 107,000,000/-, vikundi vya wanawake shilingi 123,000,000 na watu wenye ulemavu wamepewa mkopo wa shilingi 3,000,000/=

Akizungumza katika hafla ya kukabidhi hundi kwa vikundi hivyo katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji Geita Tarehe 13/10/2020, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Geita Mhandisi Modest Apolinary amesema kuwa katika mwaka wa fedha 2020/2021 wametenga jumla ya shilingi 735,987,571 kwa ajili ya mikopo kwa makundi  maalum ikiwa ni asilimia 10 ya mapato yake ya ndani.

Mhandisi Modest Apolinary ameongeza kuwa katika kipindi cha mwaka 2017 hadi 2020 halmashauri yake imeshatoa shilingi Bilioni 2.5 kama mikopo kwa vikundi vya ujasiriamali vinavyoendeshwa na vijana, wanawake na watu wenye ulemavu.

Akikabidhi mfano wa hundi kwa wawakilishi wa wanufaika wa mikopo hiyo Mkuu wa Mkoa wa Geita  Mhandisi Robert Gabriel amewataka waitumie vyema mikopo waliyopata katika shughuli za uzalishaji mali ili kujiletea maendeleo kwa kuhakikisha mnajituma kufanya kazi na kuondoa dhana ya kufikiri fedha hizo ni hisani au sadaka bali  kwa mujibu wa sheria mnapaswa kuzirejesha kikamilifu.

Kwa   upande wake Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Costantine Kanyasu amesema kuwa utoaji wa mikopo hiyo ni utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi ya mwka 2015-20120 na kumshukuru Mkurugenzi wa Mji wa Geita kwa kuendelea kutekeleza mpango huo wa kutoa mikopo kwa vijana, wanawake na watu wenye ulemavu hata baada ya Baraza la Madiwani kuvunjwa.

Akiwasilisha taarifa ya utoaji mikopo Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Ndg. Majagi Maiga amesema kuwa katika kuhakikisha mfuko huo utatekeleza majukumu yake kwa ufanisi idara imeendelea kutoa elimu kwa wajasiriamali kuendelea kurejesha fedha hizo kwa wakati ili kutoa nafasi kwa vikundi vingine zaidi kuweza kukopeshwa.



Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa