• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Ujenzi wa Vibanda vya Biashara soko kuu Geita Mjini awamu ya pili wazinduliwa

Posted on: February 28th, 2019

Ujenzi wa Vibanda Soko kuu Geita Awamu ya Pili wazinduliwa

Halmashauri ya Mji wa Geita imezindua rasmi ujenzi wa vibanda vya maduka yanayozunguka soko kuu mijini Geita ambapo awamu ya kwanza ya ujenzi wa vibanda vya maduka unaendelea na unataraji kukamilika mwezi  Juni  2019.

Akizindua rasmi ujenzi huo tarehe 27/2/2019 katika eneo la soko kuu Geita Mjini, Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel amepongeza Halmashauri ya Mji wa Geita na Mgodi wa Dhahabu wa Geita(GGM) ambao ndio wafadhili  wa mradi kwa kuibua na kuwezesha ujenzi wa mradi huo kufanikiwa.

Mhandisi Robert Gabriel amewaagiza viongozi wa Halmashauri ya Mji wa Geita kusimamia mradi huo kikamilifu bila kuchakachuliwa, pia amemtaka mkandarasi M/S Magacon anayejenga mradi huo kumaliza ujenzi huo kwa muda uliopangwa ili wananchi warejee kufanya biashara zao na kuinua uchumi wao na Taifa kwa ujumla.

Akizungumza kwa niaba ya Halmashauri ya Mji Geita, Mwenyekiti wa Halmashauri Mheshimiwa Leonard Bugomola ameahidi kuusimamia mradi huo kikamilifu na kusema kuwa vitakuwa ni vibanda vyenye hadhi ya kimataifa. Pia ametumia fursa hiyo kuwaahidi wafanyabiashara wote ambao vibanda vyao vilivunjwa kupisha ujenzi wa mradi huo kuwa watapewa kipaumbele cha kupata vibanda kabla ya wafanyabiashara wapya kupatiwa eneo.

Mhe. Bugomola amesema kuwa mradi huo utaongeza mapato ya ndani ya Halmashauri kwa kupangisha vibanda kwa wafanyabiashara, uwezo wa Halmashauri kuhudumia wananchi wake katika kata mbalimbali utaongezeka kwa sababu ya wingi wa mapato yatakayopatikana kutoka katika chanzo hicho. Kadhalika mradi utabadilisha na kuboresha mandhari na muonekano wa eneo na kuwa moja ya kivutio katika mji wa Geita.

Mradi wa ujenzi wa vibanda vya biashara katika soko kuu la Geita ulibuniwa na Halmashauri ya Mji kama mradi wa kimkakati ili kukuza uchumi wa Halmashauri kwa kuongeza mapato ya ndani, ambapo ujenzi huo kwa awamu ya kwanza na pili umetengewa kiasi cha fedha za kitanzania 2,300,000,000/= kutoka katika fedha za huduma kwa jamii( CSR) zinazotolewa na Mgodi wa Dhahabu wa Geita( GGM) . Ujenzi wa vibanda kwa awamu ya pili unatarajiwa kukamilika mwezi  Agosti 2019.




Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MANISPAA YA GEITA June 03, 2025
  • TANGAZO KUHUSU FURSA ZA MIKOPO YA ASILIMIA 10 May 27, 2025
  • Zaidi

Habari Mpya

  • WANAFUNZI WA KOZI YA AWALI YA JESHI LA AKIBA WAPATIWA ELIMU YA HABARI

    July 04, 2025
  • WATUMISHI WAKUMBUSHWA KUFANYA KAZI KWA UMOJA

    June 30, 2025
  • BONAZA LA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA GEITA NA HALMASHAURI YA WILAYA YA KWIMBA

    June 28, 2025
  • WANANCHI WA MANISPAA YA GEITA WAKUMBUSHWA KUENDELEA KUFANYA USAFI

    June 28, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa