• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Ujenzi Wa Miundombinu Ya BOOST Waanza Kwa Kishindo

Posted on: May 19th, 2023

Ujenzi wa Miundombinu Ya BOOST Waanza Kwa Kishindo

Ujenzi wa vyumba vya madarasa, mashimo ya vyoo na shule mpya za msingi umeanza kutekelezwa Kupitia mradi wa BOOST katika Halmashauri ya Mji Geita.

Mwamko huo umekuja baada ya agizo la Mkuu wa Wilaya ya Geita Mheshimiwa Cornel Magembe hivi karibuni alipokuwa akizungumza wakati wa kikao cha baraza la Madiwani kilichoketi katika ukumbi wa EPZ Bombambili Geita mjini.

Mhe. Magembe ametoa shukrani za dhati kwa Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa  kuiwezesha wilaya ya Geita fedha ambazo zinaendelea kutumika katika ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo.

“Wasimamizi wote wa mradi katika wilaya ya Geita hakikisheni utekelezaji wa mradi wa BOOST unaanza haraka,  kadhalika miradi yote inayoendelea kujengwa ikamilishwe kwa wakati ili kuweza kutoa huduma kwa wananchi ndani ya muda uliopangwa.” Aliongeza Mkuu wa Wilaya ya Geita.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Geita Mhe. Costantine Morandi ametoa shukrani za dhati kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuendelea kutambua uwepo wa halmashauri yake kwa kuwapatia fedha nyingi zinazotumika katika ujenzi wa miundombinu katika Shule za msingi. Pia ameahidi kusimamia kikamilifu miradi hiyo ili ikamilike kwa wakati na kuanza kutoa huduma kwa wananchi

 Kupitia mradi wa BOOST Halmashauri ya Mji Geita imepokea Shilingi 1,653,300,000/= ambazo zitatumika kujenga vyumba 18 vya madarasa katika shule mbalimbali, madarasa mawili ya mfano kwa elimu ya awali, chumba kimoja cha darasa la elimu maalum na matundu 13 ya vyoo.

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilitoa maagizo kwa Halmashauri zote nchini kuhakikisha fedha zinazotolewa katika utekelezaji wa miradi hiyo zinakamilisha ujenzi kama ilivyopangwa ili kuepusha miradi mingi kutokamilika huku fedha zikiwa zimekwisha. Pia thamani ya fedha itakayotolewa iendane na majengo yatakayojengwa ili kufikia matokeo yaliyokubalika.

Mradi wa BOOST utatekelezwa katika kipindi cha miaka mitano kuanzia 2021/2022 hadi 2025/2026 ambapo utatekelezwa kwa awamu tofauti. Mkoa wa Geita umepokea Shilingi 9,781,100,000 kwa ajili ya ujenzi wa shule mpya 11, vyumba vya madarasa 143 ya Shule za Msingi, vyumba vya madarasa ya mfano ya Elimu ya Awali 12, chumba kimoja cha darasa kwa ajili ya wanafunzi wenye mahitaji maalum na matundu 94 ya vyoo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI KAZI YA MKATABA May 23, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI July 22, 2022
  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA GEITA MJI December 02, 2022
  • KUSUDIO LA KUNYANG'ANYWA VIWANJA December 06, 2022
  • Zaidi

Habari Mpya

  • Mbolea Kuanza Kusambazwa na Vyama Vya Ushirika

    June 09, 2023
  • Ujenzi Wa Miundombinu Ya BOOST Waanza Kwa Kishindo

    May 19, 2023
  • Fanyeni Kazi Kwa Maadili na Ubunifu - RC Geita

    May 03, 2023
  • Jamii Yashauriwa Kuwapeleka Watoto Kwenye Chanjo

    April 25, 2023
  • Zaidi

Video

MIAKA MIWILI YA MAMA SAMIA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Applications Forms
  • Acts
  • Barua pepe za watumishi
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa