• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Ujenzi Wa Madarasa 71 Waanza Kwa Kasi Geita Mji

Posted on: October 25th, 2022

Ujenzi wa Madarasa 71 Waanza Kwa Kasi Geita Mji

Ujenzi wa vyumba 71 vya madarasa katika Shule 12 za sekondari  zilizoko katika Halmashauri ya Mji wa Geita umeanza kutekelezwa ambapo wananchi wa maeneo husika  kwa kushirikiana na mafundi wazawa wamejenga msingi wa majengo hayo na kwa sasa iko katika hatua za ukamilishwaji.

Akizungumza na mwandishi wa Habari hii hivi karibuni Mkuu wa idara ya ujenzi Halmashauri ya Mji wa Geita Mhandisi Makongoro Igungu amesema kuwa ujenzi wa misingi ya madarasa katika shule zote 12 ambazo zinatekeleza mradi huo umeshaanza ambapo umewashirikisha wananchi wa maeneo husika na kwa sehemu kubwa ujenzi wa hatua ya msingi uko katika hatua za ukamilishaji.

Mhandisi Igungu ameeleza kuwa idara yake kwa kushirikiana na idara ya elimu Sekondari imejipanga kikamilifu katika usimamizi na ufuatiliaji wa ujenzi huo na kwamba watahakikisha ujenzi unakamilika ndani ya muda uliopangwa na kujenga madarasa yenye viwango vya hali ya juu kwa ajili ya kuwawezesha wanafunzi wapya wa kidato cha kwanza 2023 kupata mahala pa kujifunzia.

Hivi Karibuni Halmashauri ya Mji wa Geita ilipokea jumla ya Shilingi 1,420,000,000( Bilioni 1.4) kutoka Serikali kuu kwa ajili ya ujenzi wa vyumba 71 vya madarasa ambayo yatatumiwa na wanafunzi wanaotaraji kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2023 katika shule 12 zilizobainika kuwa na uhitaji Zaidi wa madarasa ya msingi.

Shule zilizopokea fedha kwa ajili ya ujenzi wa madarasa ya wanafunzi wa kidato cha kwanza 2023 ni pamoja na Shule ya Sekondari Bombambili, Bulela, Ihanamilo, Kalangalala, Kisesa, Kivukoni, Lukaranga, Mkangala, Mwatulole, Nyabubele, Nyanguku na Shantamine ambapo kila chumba cha darasa kitajengwa kwa shilingi milioni 20.


Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • SERIKALI YAONGEZA FEDHA ZA ELIMU BURE MANISPAA YA GEITA

    May 11, 2025
  • WASIOFANYA USAFI KATIKA MAENEO YAO KUCHUKULIWA HATUA - DC KOMBA

    May 10, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI

    May 09, 2025
  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa