• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Tumieni Fursa Zilizoko Geita - TD Geita

Posted on: November 30th, 2023

Tumieni Fursa Zilizoko Geita- TD Geita

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Geita Bi. Zahara Michuzi amewakaribisha Mabalozi wa Tamasha la Kutoa huduma na kutangaza shughuli za Maendeleo (ZIFIUKUKI) kutumia fursa zilizoko katika Mji wa Geita na mkoa kwa ujumla kwa lengo la kukuza uchumi na kuimarisha uwekezaji wa ndani.

Bi. Zahara ameyasema hayo Tarehe 29/11/2023 alipokuwa akizungumza na mabalozi hao waliofanya ziara ya kutembelea Halmashauri ya Mji Geita kwa lengo la kufahamu miradi inayotekelezwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Geita amewaeleza mabalozi hao kuwa Halmashauri yake inatekeleza miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa uwanja wa kisasa wa michezo kwa kutumia fedha za Huduma ya Kampuni kwa jamii (CSR) kutoka Mgodi wa Dhahabu Geita(GGM), hivyo kupitia mradi huu mabalozi hao wamehamasishwa kufungua maduka ya kuuza vifaa vya michezo, maduka ya vinywaji na maduka ya mahitaji mengine.

Akizungumza kwa niaba ya mabalozi wenzake msanii Simon Mwapagata amesema kuwa wamepokea mwaliko wa fursa hizo na watazifanyia kazi, pia wameahidi kuunga mkono jitihada za Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kutangaza shughuli za Serikali hususan utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo katika Mji wa Geita.

“Tunaipongeza Serikali ya awamu ya sita chini ya Jemedari wetu Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutoa fedha za utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo ili kuwatengenezea watanzania wote mazingira salama ya kuishi, sisi kama wasanii tunamuahidi kushirikiana naye katika kuhakikisha wananchi wote wanaitambua miradi ya kimkakati inayotekelezwa katika maeneo mbalimbali”. Aliongeza Simon Mwapagata.

Miradi iliyotembelewa na mabalozi hao ambao ni wasanii wa filamu ni pamoja na ujenzi wa Uwanja wa kisasa wa michezo Geita mjini, Ujenzi wa shule maalum ya sekondari ya wasichana inayojengwa kwa shilingi Bilioni 3 kutoka Serikali kuu, Ujenzi wa Shule mpya ya msingi Juhudi, Upanuzi wa Kituo cha afya Nyankumbu na Ujenzi wa Soko kuu la Dhahabu Geita mjini.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • SERIKALI YAONGEZA FEDHA ZA ELIMU BURE MANISPAA YA GEITA

    May 11, 2025
  • WASIOFANYA USAFI KATIKA MAENEO YAO KUCHUKULIWA HATUA - DC KOMBA

    May 10, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI

    May 09, 2025
  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa