• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

Timu Ya Halmashauri Yapata Udhamini Kutoka GGM

Posted on: December 20th, 2022

Timu Ya Halmashauri Yapata Udhamini Kutoka GGM

Timu ya Mpira wa miguu Geita Gold Footbal Club inayomilikiwa na Halmashauri ya Mji wa Geita imeingia makubaliano na Mgodi wa Dhahabu wa Geita ambapo mgodi wa GGM utaidhamini timu shilingi Milioni 800 za kitanzania katika mwaka wa fedha 2022/2023.

Akizungumza wakati wa hafla fupi ya kusaini mkataba wa makubaliano iliyofanyika hivi karibuni katika ukumbi wa Ofisi za Halmashauri ya Mji Geita, Mkuu wa Wilaya ya Geita Mheshimiwa Wilson Shimo ametoa rai kwa uongozi wa timu pamoja na Halmashauri ya Mji Geita kutumia ujuzi na weledi mkubwa katika kuiongoza timu hiyo na kuweka mikakati mikubwa ya namna ya kuiendeleza ili kutunza alama na nembo ya mkoa wa Geita kwa kizazi cha sasa na baadaye.

 Mkurugenzi Mtendaji wa mgodi wa GGM Ndugu Terry Strong amesema kuwa wamefikia uamuzi wa kuendelea kuwa wadhamini wa timu ya GGFC kwa misimu miwili sasa ambapo mwaka uliopita kampuni yake ilitoa udhamini wa shilingi Milioni 500. Shilingi Milioni 800 zilizotolewa na Mgodi wa GGM zitaiwezesha timu kupata basi, chakula cha wachezaji, jezi pamoja na mahitaji muhimu ya timu.

Mbunge wa jimbo la Geita mjini Mhe. Costantine Kanyasu amesema kuwa wananchi wa Geita wanajivunia uwepo wa Mgodi wa GGM na anaamini kuwa udhamini uliotolewa utaendeleza kiwango cha timu na kuwa chachu ya kuinua uchumi wa mwananchi mmoja mmoja. Pia amewaomba viongozi wa GGM kutoa udhamini kwa timu ya mpira wa miguu ya wanawake (Geita Queens) ambayo imeendelea kuutangaza mkoa wa Geita.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Geita Bi. Zahara Michuzi ametoa shukrani za dhati kwa Mgodi wa GGM kwa kuongeza udhamini wa timu ya GGFC, udhamini huo utaleta tija katika maendeleo ya timu na jamii kwa ujumla. Pia amekaribisha makampuni na Taasisi nyingine kuja kutoa udhamini kwa timu yetu ya Geita Gold FC.


Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • TWCC MKOA WA GEITA WAMEMKABIDHI HATI YA SHUKRANI MKURUGENZI MYENZI

    May 07, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA GEITA MHE. HASHIM A KOMBA KUTEMBELEA NJIA NA MIRADI ITAKAYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    May 06, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAMPONGEZA MKURUGENZI MYENZI

    May 05, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa