• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Geita Town Council
Geita Town Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Geita

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Rasilimali Watu na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Miundombinu, Maendeleo vijijini na Mjini
      • Usimamizi taka na Usafi wa Mazingira
    • Vitengo
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Maliasili na Uhifadhi Mazingira
      • Sheria
      • Fedha na Uhasibu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uchimbaji Madini
    • Sekta ya Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya, Ustawi wa jamii na Huduma ya Lishe
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Elimu na Afya
      • Kamati ya Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu ya Maombi
    • Miongozo
    • Jarida la Halmashauri
    • Mkakati wa kuziwezesha
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
  • Maeneo ya Uwekezaji

TD MYENZI AWATAKA WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUWA MAKINI

Posted on: July 29th, 2024

Hayo yamesemwa leo tarehe 29 Julai, 2024 na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Geita ambaye ndiye Afisa Muandikishaji wa Jimbo la Geita Mjini Ndg. Yefred Myenzi wakati akifungua mafunzo kwa Watendaji wa uboreshaji wa dafatri la kudumu la wapiga kura ngazi ya jimbo yaliyofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya mji wa Geita

"Lazima tuwe wasikivu, tuwe makini, tuzingatie yale ambayo tunaelekezwa na wataalam wetu wa tume huru ya mafunzo na wengine ambao watawapatia mafunzo, umakini wetu utarahisisha hii kazi angalau kwanza tufanye kwa muda mfupi lakini pia kuikamilisha kwa ufanisi unaotarajiwa na viwango vinavyotarajiwa" amesema Ndg. Myenzi

Mafunzo haya ya ngazi ya Jimbo yanatarajiwa kuhitimishwa kesho tarehe 30 Julai, 2024 ambapo yatafuatiwa na mafunzo ngazi ya Kata kwa watendaji wa vituoni (Waandishi wasaidizi na Waendashaji wa vifaa vya bayometriki) yanayotarajiwa kufanyika tarehe 2 hadi 3 Agosti, 2024 kwa mujibu wa ratiba ya awali iliyotolewa na Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi.

Aidha kwa Jimbo hili la Geita Mjini zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa awamu ya kwanza unatarajiwa kufanyika kuanzia tarehe 05 hadi 11 Agosti, 2024. na wito unatolewa kwa wananchi wote wenye sifa na wapiga kura wa Jimbo la Geita kujitokeza kwa wingi kujiandikisha na kuboresha taarifa zao kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.

Watendaji wa Uboreshaji wa daftari la Kudumu la Wapiga Kura wakifuatilia mafunzo


Afisa Muandikishaji Ngazi ya Jimbo Bi. Lucy Lyaruu akisisitiza jambo wakati wa mafunzo

Naye, Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ambaye pia ni Jaji wa Mahakama Kuu, Mhe. Asina Omari ametembelea mafunzo hayo ya watendaji wa uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura katika Halmashauri ya Mji Geita ambapo amewaasa watendaji hao kufanya kazi Kwa weledi na kutoa huduma nzuri kwa wananchi watakaojitokeza kujiandikisha na wapiga kura watakaokwenda vituoni kuboresha taarifa zao.

Mhe. Asina Omari akizungumza jambo katika mafunzo

Uboreshaji huu wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura unaenda sambamba na kauli mbiu inayosema;

"Kujiandisha kuwa Mpiga Kura ni Msingi wa Uchaguzi Bora"


Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA MAOHOJIANO (ORAL INTERVIEW) KADA YA MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II September 29, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 05, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAHILI September 21, 2024
  • Zaidi

Habari Mpya

  • SERIKALI YAONGEZA FEDHA ZA ELIMU BURE MANISPAA YA GEITA

    May 11, 2025
  • WASIOFANYA USAFI KATIKA MAENEO YAO KUCHUKULIWA HATUA - DC KOMBA

    May 10, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI

    May 09, 2025
  • BURIANI MHE DAVID CLEOPA MSUYA

    May 07, 2025
  • Zaidi

Video

WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WATAKIWA KUTOJIHUSISHA NA ITIKADI ZA KISIASA
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Mfumo wa Watumishi kujihudumia
  • Applications Forms
  • Acts
  • Taarifa za Huduma za Afya
  • Mfumo wa Kupata Leseni za Biashara ( Mfumo wa Tausi)
  • Barua pepe za watumishi
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Taarifa za Mapato

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • TUWE MFANO KWA TAIFA' Yefred Myenzi
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Geita Tanzania

    Sanduku la Posta: P.o Box 384 Geita

    Namba ya Simu: 0282520437

    Mobile:

    Barua pepe: td@geitatc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki 2017 Halmashauri ya Mji Geita . Haki zote zimehifadhiwa